Viongozi wa manesi TANA kuwaponda madaktari ni sahihi?


umeniongezea hasira kwa hawa nyau nilipo kuwa mganga mfawadhi kituo cha afya fulani hapo Morogoro manurse wangu tulikuwa tunaishiwa gloves mpaka tunashika damu na amniotic fluid kulitokea kipindupindu ilikuwa balaa drip hakuna halafu leo jitu linajitokeza kwenye TV na kuanza kubwatuka mpaka povu linawatoka huyu hatakama ana masters hiyo masters haijamsaidia kitu bado halija elimika limenunuliwa na magamba ndio linafanya propaganda za kitoto kisa njaa,njaa hizo zitawafikisha pabaya hawa nyang'au.
 
kuna mmoja wa manesi ana mtoto ambaye ni daktari.sasa sijui kama yupo kwenye mgomo au la.halafu najiuliza kwa nini alishindwa kumshawishi mtoto wake kusomea unesi?
 
Afisa Utumishi mkuu wa jiji la Mwanza,Katibu wa Afya wa jiji ipo siku mawe na miti vitaongea juu yao!
 

Huku kimekuleta nini,usingefeli form two mtaani ungekuwa unafanya nini! Kampeni 2015 bado, subiri utapata tisheti ya njano na kofia ya kijani. Unaogea usaha,
 

You are really expert in this field,mna wa kupelekwa kama mabegi umekwisha.
 
Haswa natokwa na mapovu kwa kuwa na watu wajinga kama hao waliojipachika vyeo kujiita viongozi wa TANA wanadharilisha taaluma ya UUGUzi soma hii definition ya Nursing Ab
[h=2]Definition of Nursing[/h]
Nursing encompasses autonomous and collaborative care of individuals of all ages, families, groups and communities, sick or well and in all settings. Nursing includes the promotion of health, prevention of illness, and the care of ill, disabled and dying people. Advocacy, promotion of a safe environment, research, participation in shaping health policy and in patient and health systems management, and education are also key nursing roles.
Last Updated on Monday, 12 April 2010

Sasa hawo viongozi wamejipachika kwenye TV wanaongea utumbo wanaelewa majukumu yao lakini,ni viongozi wa ovyo kabisa
 
Sasa hawa viongozi wa manesi wanatengeneza bomu jingine kwa kutokuwa na busara, jamani nchi hii imeishiwa viongozi katika kila nyanja sijui wametumwa na nani kuongea utumbo huu
 
Huku kimekuleta nini,usingefeli form two mtaani ungekuwa unafanya nini! Kampeni 2015 bado, subiri utapata tisheti ya njano na kofia ya kijani. Unaogea usaha,
Ha ha ha!
Du haya ndo naita mawazo mgando.
Madigirii niliyosheheni utazimia!!
Nimeliona darasa ambalo wala hutazamii kulifikia, lakini hayo tuache, maana tulishasikia "dont argue with a fool, people might not notice the difference"

Shortsightness ya watu kama hawa ndo inapelekea watu kuandamana na kugoma bila kujua wanagomea nini.
Get your priorities and foresight focussed, msijaze quorum tu.
Haya sasa madaktari wanarudi kazini na wewe rudi haraka kwenye vidonda.
Nilikwambieni kama kazi hamuiwezi rudini huku mitaani kwetu pesa ipo sio mnauza panadol za wagonjwa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…