Viongozi wa kiislamu wanaturudisha nyuma sana kwenye No reform No election

Viongozi wa kiislamu wanaturudisha nyuma sana kwenye No reform No election

Hance Mtanashati

JF-Expert Member
Joined
Sep 7, 2016
Posts
23,877
Reaction score
31,632
Nimewasikiliza viongozi wa kiislamu kadhaa kuanzia Nurdin Kishki, Mazinge, Sule na wengineo wengi ambao sio maarufu .

Cha ajabu hakuna ninayemsikia akisapoti suala la No reform No election, hakuna anayepiga kelele suala zima la utekaji na muenendo wa serikali kiujumla badala yake wamekuwa ni watu wa kusifu chama tawala na kuwaponda wale wote ambao wanaenda kinyume na chama tawala.

Ingekuwa kidogo inaleta mantiki kama wangejikita zaidi kwenye suala la dini na kutoingiza dini na siasa .

Kwa upande wakristo nimeona wengi wanahitaji mabadiliko , tumewasikia wachungaji kadhaa nje na ndani ya nchi, tena wengine wameenda mbali zaidi kwa kukataza muumini yeyote kuingia kanisani kama amevaa Tshirt au kofia au vazi la aina yoyote ile yenye maana ya kisiasa na wamewaonya vikali waumini wao wasitumike na wanasiasa , na hii ilikuja siku chache yule nywi nywi nywi kuombewa na watawa .

Mashekhe wakishapewa pesa ya ubwabwa akili yote inawaruka.

Natamani nchi ikichukuliwa na wapinzani ,hata baklava nayo ivunjwe isukwe upya kabisa.


Napost baadhi ya videos hapo chini kusindikiza uzi. 👇👇👇👇👇
 
Pata maoni murua kwa wanadini wenye reasoning capacity, kwanza unawaonaje watu wa dini hiyo, wana ufahamu wa kuchambua mambo kwa akili huru isiyoharibiwa na imani za kidini? Bora wa dini ile nyingine hata kama uwe wa dini yao ukileta mazinguzi unachanwa live bila chenga. Sasa hawa wa dini hii unategemea wamchalenji mfuasi wa dini yao?!
 
Pata maoni murua kwa wanadini wenye reasoning capacity, kwanza unawaonaje watu wa dini hiyo, wana ufahamu wa kuchambua mambo kwa akili huru isiyoharibiwa na imani za kidini? Bora wa dini ile nyingine hata kama uwe wa dini yao ukileta mazinguzi unachanwa live bila chenga. Sasa hawa wa dini hii unategemea wamchalenji mfuasi wa dini yao?!
Na bila Waislamu hamtoboi. Nyie ninwaoga mno na mnapenda sana dunia. Uwezo wenu ni matusi, kashfa na kuandamana mitandaoni tu!
 
Hiyo Ni Ajenda Ya CHADEMA na Kanisa Mzee, Usitake Kila Mtu Afuate Msimamo Wenu, Sisi Sio Bendera Kuwa Tunaenda Tu Na Kila Wazo La Mtu, Waislamu Tuna Madai Yetu Kibao Hadi Leo Hayaja tekelezwa na Serikali Hakuna Kanisa Wala Chama Kilicho Tuunga Mkono Ya Nini Sisi Tuunge Ajenda Zenu? Waulize Maaskofu Zako Kuhusu MoU mabilion wanayopata serikalin kuna muislamu analamba? Waulize Kuhus Mahakama Ya Qadhw hao TEC walisemaje? kwanini sisi tuunge mkono ajenda zenu na tunajua ni kwa maslahi yenu tu? Usitake msimamo wako wewe basi kila mtu afuate kila mtu ashinde mechi zake we andamana me napiga kura.
 
Yaan tuunge mkono ajenda za chama ambacho watu wanao tukana matusi ya nguoni ndio wafuasi wao? Chama ambacho ukipingana na misimamo yao basi wewe ni adui yao, hawan hoja zaid ya matusi? Nyiny unganeni na hao waislamu wasio jitambua ila musitegemee kuungwa mkono na sheikh wowote wa kiislamu anae jielewa abadani, coz rais akiwa wa upande wenu makanisa yote kimya ila shida atokee huku...
20250927_223138.jpg
 
"Ndugu zetu katika imani "
Ukishasikia hiyo kauli jua hakosolewi mtu hapo..huyu ni mwenzetu .

Elimu pia inachangia
Mleta mada kaongea vizuri ni mashehe na uroho wa pesa, wewe utaharibu kuwaongelea waislaam wote, wacha chuki ongelea wahusika,kuna waislaam wengi tu hata kuwasikiiza hao mashekhe hatuwasikilizi,na hii walifanya hata kipindi cha mwendazake kama unakumbuka, bure kabisa hawa. Uzuri waislaam hatuperekeshwi. Waache wahahuke na vipesa mbuzi
 
Nimewasikiliza viongozi wa kiislamu kadhaa kuanzia Nurdin Kishki, Mazinge, Sule na wengineo wengi ambao sio maarufu .

Cha ajabu hakuna ninayemsikia akisapoti suala la No reform No election, hakuna anayepiga kelele suala zima la utekaji na muenendo wa serikali kiujumla badala yake wamekuwa ni watu wa kusifu chama tawala na kuwaponda wale wote ambao wanaenda kinyume na chama tawala.

Ingekuwa kidogo inaleta mantiki kama wangejikita zaidi kwenye suala la dini na kutoingiza dini na siasa .

Kwa upande wakristo nimeona wengi wanahitaji mabadiliko , tumewasikia wachungaji kadhaa nje na ndani ya nchi, tena wengine wameenda mbali zaidi kwa kukataza muumini yeyote kuingia kanisani kama amevaa Tshirt au kofia au vazi la aina yoyote ile yenye maana ya kisiasa na wamewaonya vikali waumini wao wasitumike na wanasiasa , na hii ilikuja siku chache yule nywi nywi nywi kuombewa na watawa .

Mashekhe wakishapewa pesa ya ubwabwa akili yote inawaruka.

Natamani nchi ikichukuliwa na wapinzani ,hata baklava nayo ivunjwe isukwe upya kabisa.


Napost baadhi ya videos hapo chini kusindikiza uzi. 👇👇👇👇👇
Hakuna muislamu mzalendo....waislamu ni wabinafsi sana ...ndiyo maana kelele zao za wao kuwa ndiyo walio pigania uhuru ni uongo mkubwa sana ni scam ......hivi kuna muislamu kweli ambaye angeweza kumkabili mkoloni ?
 
Back
Top Bottom