Viongozi wa Kenya kuishitaki Tanzania ICJ kwa kuwafukuza Wamasai Ngorongoro

joto la jiwe

JF-Expert Member
Sep 4, 2017
26,117
46,613


MY TAKE: Tungekua na uongozi imara, nilitegemea serikali ya Tanzania kujibu kwa nguvu zote hili jambo la viongozi wa Kenya kuingilia Mambo ya ndani ya Tanzania Kama tulivyojibu mapigo kufuatia kauli za kijinga za Jaguar hatimaye serikali ya Kenya ilijitenga mbali na Jaguar.

Kenya imekua ikifanya "operations" za namna hii mara nyingi kushinda Tanzania dhidi ya wamaasai na jamii tofauti lakini hakuna mtanzania yeyote aliyewahi kulizungumzia kwa kuheshimu maamuzi ya ndani ya Kenya, hiyo Haina maana kwamba Kila kinachofanywa na serikali ya Kenya kwa watu wake ni sahihi, lengo ni kuhepusha migongano na kudumisha ujirani mwena, hiyo ndio Siri kubwa inayoifanya Tanzania kuwa na mahusiano mazuri na majirani wote na Kenya kukwaruzana na majirani wote.

Tony254
Geza Ulole
dyfre The best 007
 


MY TAKE: Tungekua na uongozi imara, nilitegemea serikali ya Tanzania kujibu kwa nguvu zote hili jambo la viongozi wa Kenya kuingilia Mambo ya ndani ya Tanzania Kama tulivyojibu mapigo kufuatia kauli za kijinga za Jaguar hatimaye serikali ya Kenya ilijitenga mbali na Jaguar.

Kenya imekua ikifanya "operations" za namna hii mara nyingi kushinda Tanzania dhidi ya wamaasai na jamii tofauti lakini hakuna mtanzania yeyote aliyewahi kulizungumzia kwa kuheshimu maamuzi ya ndani ya Kenya, hiyo Haina maana kwamba Kila kinachofanywa na serikali ya Kenya kwa watu wake ni sahihi, lengo ni kuhepusha migongano na kudumisha ujirani mwena, hiyo ndio Siri kubwa inayoifanya Tanzania kuwa na mahusiano mazuri na majirani wote na Kenya kukwaruzana na majirani wote.

Tony254
Geza Ulole
dyfre The best 007

Hawawezi shinda kesi ICC Ngorongoro ipo protected na conservation laws! Waambie waache kuvuta kile kitu wanavuta! Hiyo clip wame-block comment section wakiogopa backlash!
 


MY TAKE: Tungekua na uongozi imara, nilitegemea serikali ya Tanzania kujibu kwa nguvu zote hili jambo la viongozi wa Kenya kuingilia Mambo ya ndani ya Tanzania Kama tulivyojibu mapigo kufuatia kauli za kijinga za Jaguar hatimaye serikali ya Kenya ilijitenga mbali na Jaguar.

Kenya imekua ikifanya "operations" za namna hii mara nyingi kushinda Tanzania dhidi ya wamaasai na jamii tofauti lakini hakuna mtanzania yeyote aliyewahi kulizungumzia kwa kuheshimu maamuzi ya ndani ya Kenya, hiyo Haina maana kwamba Kila kinachofanywa na serikali ya Kenya kwa watu wake ni sahihi, lengo ni kuhepusha migongano na kudumisha ujirani mwena, hiyo ndio Siri kubwa inayoifanya Tanzania kuwa na mahusiano mazuri na majirani wote na Kenya kukwaruzana na majirani wote.

Tony254
Geza Ulole
dyfre The best 007
Upuuzi mtupu
 


MY TAKE: Tungekua na uongozi imara, nilitegemea serikali ya Tanzania kujibu kwa nguvu zote hili jambo la viongozi wa Kenya kuingilia Mambo ya ndani ya Tanzania Kama tulivyojibu mapigo kufuatia kauli za kijinga za Jaguar hatimaye serikali ya Kenya ilijitenga mbali na Jaguar.

Kenya imekua ikifanya "operations" za namna hii mara nyingi kushinda Tanzania dhidi ya wamaasai na jamii tofauti lakini hakuna mtanzania yeyote aliyewahi kulizungumzia kwa kuheshimu maamuzi ya ndani ya Kenya, hiyo Haina maana kwamba Kila kinachofanywa na serikali ya Kenya kwa watu wake ni sahihi, lengo ni kuhepusha migongano na kudumisha ujirani mwena, hiyo ndio Siri kubwa inayoifanya Tanzania kuwa na mahusiano mazuri na majirani wote na Kenya kukwaruzana na majirani wote.

Tony254
Geza Ulole
dyfre The best 007
Wakenya wasiingilie mambo yetu tutajibu mara moja matokeo hayo
 
Watanzania ni wanafiki sana, hapo sasa kuna watu tayari wameshauawa na wengine kujeruhiwa vibaya na kupelekwa kwenye matibabu Kenya halafu serikali inachuuza uongo kwamba hakuna kilichofanyika.

Al Jazeera wametoa taarifa kwamba kuna rapsha kubwa imetoa huko Ngorongoro. Hii tabia ya kusema wengine wasiwaseme hata kama mnaua raia wenu kisa ni mambo yenu ya ndani ni unafiki mkubwa unaotumiwa na madikteta kote duniani.
 


MY TAKE: Tungekua na uongozi imara, nilitegemea serikali ya Tanzania kujibu kwa nguvu zote hili jambo la viongozi wa Kenya kuingilia Mambo ya ndani ya Tanzania Kama tulivyojibu mapigo kufuatia kauli za kijinga za Jaguar hatimaye serikali ya Kenya ilijitenga mbali na Jaguar.

Kenya imekua ikifanya "operations" za namna hii mara nyingi kushinda Tanzania dhidi ya wamaasai na jamii tofauti lakini hakuna mtanzania yeyote aliyewahi kulizungumzia kwa kuheshimu maamuzi ya ndani ya Kenya, hiyo Haina maana kwamba Kila kinachofanywa na serikali ya Kenya kwa watu wake ni sahihi, lengo ni kuhepusha migongano na kudumisha ujirani mwena, hiyo ndio Siri kubwa inayoifanya Tanzania kuwa na mahusiano mazuri na majirani wote na Kenya kukwaruzana na majirani wote.

Tony254
Geza Ulole
dyfre The best 007

Unakuaga umechoka akili kweli, u are a clueless idiot, yaani pedestrian reasoning, blind patriotism yenye has condemned you to poverty despite..., can you re-read what u wrote objectively?., who told u mko na mahusiano mazuri na jirani zenu? nyie kero, na pia mmedharauliwa so mnapuuzwa tu mnadhani ni uhusiano 😂 😂 😂 😂 😂 😂
 
Watanzania ni wanafiki sana, hapo sasa kuna watu tayari wameshauawa na wengine kujeruhiwa vibaya na kupelekwa kwenye matibabu Kenya halafu serikali inachuuza uongo kwamba hakuna kilichofanyika.

Al Jazeera wametoa taarifa kwamba kuna rapsha kubwa imetoa huko Ngorongoro. Hii tabia ya kusema wengine wasiwaseme hata kama mnaua raia wenu kisa ni mambo yenu ya ndani ni unafiki mkubwa unaotumiwa na madikteta kote duniani.
joto la jiwe nadhani ni kiongozi wa CCM anatumia pseudo name hapa., he reasons exactly the same na wale idiotic leaders wa Tanzania, hakuna tofauti, yani hapa ni kama we argue and debate with CCM leaders nimegundua.,
 
Hawawezi shinda kesi ICC Ngorongoro ipo protected na conservation laws! Waambie waache kuvuta kile kitu wanavuta! Hiyo clip wame-block comment section wakiogopa backlash!
Kwani hawa ndugu zetu wa Kenya wanayo locus standi katika suala hili. Wanasheria hebu tusaidieni
 


MY TAKE: Tungekua na uongozi imara, nilitegemea serikali ya Tanzania kujibu kwa nguvu zote hili jambo la viongozi wa Kenya kuingilia Mambo ya ndani ya Tanzania Kama tulivyojibu mapigo kufuatia kauli za kijinga za Jaguar hatimaye serikali ya Kenya ilijitenga mbali na Jaguar.

Kenya imekua ikifanya "operations" za namna hii mara nyingi kushinda Tanzania dhidi ya wamaasai na jamii tofauti lakini hakuna mtanzania yeyote aliyewahi kulizungumzia kwa kuheshimu maamuzi ya ndani ya Kenya, hiyo Haina maana kwamba Kila kinachofanywa na serikali ya Kenya kwa watu wake ni sahihi, lengo ni kuhepusha migongano na kudumisha ujirani mwena, hiyo ndio Siri kubwa inayoifanya Tanzania kuwa na mahusiano mazuri na majirani wote na Kenya kukwaruzana na majirani wote.

Tony254
Geza Ulole
dyfre The best 007
Mm napingana na ujinga wa kuwapinga wamasai ...kwa sababu hiyo ardhi ingekuwa ni mali ya vigogo wa ccm wangeitoa kwa kujilipa kila mita mija ya eneo kwa sh 1,000,000 hivyo wangepeana hadi $1mil ...ukweli ni kwamba wamasai siyo wajinga kukutaa kuama kama wangepewa kila kichwa sh milioni 10 hivi na fidia ya ardhi nyingine pamoja na maslai mengine ...wangeondoka kwa amani
 
Wanachotaka ni mbuga yetu ife baada ya mda na watalii wote waende kwao
Wakenya wajanjawajanja sana
Swali siyo kwamba wamasai awataki maisha mazuri au utajili ...tatizo hapo ni dhuruma ....wewe akija mtu anataka kuchukua nyumba yako yenye thamani ya mil100 kwa kukupa sh laki 1 utakubali
Serikali iwalipe pesa ndefu wamasai hata $80mil na kuwapatia eneo jipya
 


MY TAKE: Tungekua na uongozi imara, nilitegemea serikali ya Tanzania kujibu kwa nguvu zote hili jambo la viongozi wa Kenya kuingilia Mambo ya ndani ya Tanzania Kama tulivyojibu mapigo kufuatia kauli za kijinga za Jaguar hatimaye serikali ya Kenya ilijitenga mbali na Jaguar.

Kenya imekua ikifanya "operations" za namna hii mara nyingi kushinda Tanzania dhidi ya wamaasai na jamii tofauti lakini hakuna mtanzania yeyote aliyewahi kulizungumzia kwa kuheshimu maamuzi ya ndani ya Kenya, hiyo Haina maana kwamba Kila kinachofanywa na serikali ya Kenya kwa watu wake ni sahihi, lengo ni kuhepusha migongano na kudumisha ujirani mwena, hiyo ndio Siri kubwa inayoifanya Tanzania kuwa na mahusiano mazuri na majirani wote na Kenya kukwaruzana na majirani wote.

Tony254
Geza Ulole
dyfre The best 007
Kelele za chura hazimzuii Tembo kunywa maji.
 


MY TAKE: Tungekua na uongozi imara, nilitegemea serikali ya Tanzania kujibu kwa nguvu zote hili jambo la viongozi wa Kenya kuingilia Mambo ya ndani ya Tanzania Kama tulivyojibu mapigo kufuatia kauli za kijinga za Jaguar hatimaye serikali ya Kenya ilijitenga mbali na Jaguar.

Kenya imekua ikifanya "operations" za namna hii mara nyingi kushinda Tanzania dhidi ya wamaasai na jamii tofauti lakini hakuna mtanzania yeyote aliyewahi kulizungumzia kwa kuheshimu maamuzi ya ndani ya Kenya, hiyo Haina maana kwamba Kila kinachofanywa na serikali ya Kenya kwa watu wake ni sahihi, lengo ni kuhepusha migongano na kudumisha ujirani mwena, hiyo ndio Siri kubwa inayoifanya Tanzania kuwa na mahusiano mazuri na majirani wote na Kenya kukwaruzana na majirani wote.

Tony254
Geza Ulole
dyfre The best 007

Tumeshawashtaki. Sasa ngojeni summons kutoka mahakamani mje mujibu mashtaka.
 
Hawawezi shinda kesi ICC Ngorongoro ipo protected na conservation laws! Waambie waache kuvuta kile kitu wanavuta! Hiyo clip wame-block comment section wakiogopa backlash!
Kwani backlash kwa comment section ndio itazuia keshi hii kuendelea mahakani? Kelele za chura hazimzuii ng'ombe kunywa maji.
 


MY TAKE: Tungekua na uongozi imara, nilitegemea serikali ya Tanzania kujibu kwa nguvu zote hili jambo la viongozi wa Kenya kuingilia Mambo ya ndani ya Tanzania Kama tulivyojibu mapigo kufuatia kauli za kijinga za Jaguar hatimaye serikali ya Kenya ilijitenga mbali na Jaguar.

Kenya imekua ikifanya "operations" za namna hii mara nyingi kushinda Tanzania dhidi ya wamaasai na jamii tofauti lakini hakuna mtanzania yeyote aliyewahi kulizungumzia kwa kuheshimu maamuzi ya ndani ya Kenya, hiyo Haina maana kwamba Kila kinachofanywa na serikali ya Kenya kwa watu wake ni sahihi, lengo ni kuhepusha migongano na kudumisha ujirani mwena, hiyo ndio Siri kubwa inayoifanya Tanzania kuwa na mahusiano mazuri na majirani wote na Kenya kukwaruzana na majirani wote.

Tony254
Geza Ulole
dyfre The best 007

Sasa mnataka kuwauwa hao watu halafu Wakenya wanyamaze? Kamwe hatutonyamaza.
 
Back
Top Bottom