Wa Ndima
JF-Expert Member
- Aug 13, 2010
- 1,526
- 323
Jamani JF, Viongozi wa dini hasa Wakristo wamenunuliwa leo kwa pesa chafu na JK na wameandaa magazeti kwa ajili ya kumpigia kampeni na kumsafisha JK siku ya tarehe 30.10.2010. Miongoni mwao yapo Umma linalochapwa kila siku ambalo lilikuwa la wiki, Hoja lililokuwa litoke 29.10.10 ila linatoka 30.10.10 na Nyakati linalochapwa mara mbili yaani 30.10.10 lenye kumpigia kampeni JK na lile la kawaida litakalotoka 31.10.10 siku ya uchaguzi
Watumishi hawa waliokula Mlungula kuiuza nchi yao kama Yuda Iskariote ni Mch. Steven Ibrahim, Sheikh Mohammed Idd Mohammed, Askofu Mkuu David Batenzi wa PCT, Mwinjilisti Inncent Bilakatwe, Askofu Sylvester Gamanywa na Mhariri wa Gazeti Nyakati, Mr. Arnold kwa uchache. Listi iko ndefu sana.
Na wamepanga kuendesha kampeni ya nguvu sana siku ya jumapili ya uchaguzi kuhakikisha JK anashinda.
Mungu tusaidie na viongozi hawa wa dini wapenda pesa bila kuangalia maslahi ya Taifa na Watanzania, watu wanaojali matumbo yao kuliko utu wa Watanzania na vizazi vyao.
Watumishi hawa waliokula Mlungula kuiuza nchi yao kama Yuda Iskariote ni Mch. Steven Ibrahim, Sheikh Mohammed Idd Mohammed, Askofu Mkuu David Batenzi wa PCT, Mwinjilisti Inncent Bilakatwe, Askofu Sylvester Gamanywa na Mhariri wa Gazeti Nyakati, Mr. Arnold kwa uchache. Listi iko ndefu sana.
Na wamepanga kuendesha kampeni ya nguvu sana siku ya jumapili ya uchaguzi kuhakikisha JK anashinda.
Mungu tusaidie na viongozi hawa wa dini wapenda pesa bila kuangalia maslahi ya Taifa na Watanzania, watu wanaojali matumbo yao kuliko utu wa Watanzania na vizazi vyao.