Chagu wa Malunde
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 8,708
- 5,711
Tupate Katiba Mpya ambayo itaweka wazi kuwa viongozi wa Tume ya Uchaguzi kuanzia mwenyekiti wa taifa mpaka wasimamizi wa uchaguzi wawe watu huru wasiofungamana na upande wowote na wasiwe na vinasaba vya kufungamana na chama chochote.
Huu ndio utakuwa msingi wa kisheria wa kuwa na tume huru isiyokuwa na upendeleo.
Naona mnakomalia habari ya Tume Huru huku mkisahau kuwa Tume Huru itapatikana kama Katiba itaseme tume iwe Huru.
Simamieni taifa letu lipate Katiba Mpya. Maana hali ni tete.
Viongozi wa dini wasisitiza Tume Huru ya Uchaguzi.
Huu ndio utakuwa msingi wa kisheria wa kuwa na tume huru isiyokuwa na upendeleo.
Naona mnakomalia habari ya Tume Huru huku mkisahau kuwa Tume Huru itapatikana kama Katiba itaseme tume iwe Huru.
Simamieni taifa letu lipate Katiba Mpya. Maana hali ni tete.
Viongozi wa dini wasisitiza Tume Huru ya Uchaguzi.