Poleni sana. Mjaliwe mpone. Muendelee na ukombozi.Habari mbaya hivi punde. Mhe. Makam mkt Prof. Safari na Katibu mkuu BAVICHA Julius Mwita na dereva wao Abasi Wamepata ajari mbaya ya gari Singida itigi kitalaka, wako salama japo hali ya Dereva sio nzuri, wote wapo hospital kwa uchunguzi, gari ina hali mbaya kidogo. Tuwaombee wazidi kuimarika kiafya ya mwili na roho... Amen.
Source: Kiongozi wa CHADEMA.
View attachment 384603 View attachment 384604 View attachment 384605 View attachment 384589
poleni sana makamandaMungu atawatetea
Shindwa pepoMungu kaanza kupambana nao dhidi ya mipango yao dharimu.
Na walegeee wote. Haiwezekani maombi yanayoombwa nchi nzima na Mungu asitusikie waja wake. Mungu ambariki JPM!Shindwa pepo