Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 61,211
- 99,960
- Thread starter
- #41
Weee kweli shetani,. Tena mjukuu wa shetani! CCM mnawaza mabaya tu, mnawaza mauti tu, mkimaliza kutuua wote mtarudiana wenyewe kwa wenyewe... Hamuwezi kubaki salamaNa walegeee wote. Haiwezekani maombi yanayoombwa nchi nzima na Mungu asitusikie waja wake. Mungu ambariki JPM!