Viongozi wa CHADEMA wapata ajali

Viongozi wa CHADEMA wapata ajali

Determinantor

Platinum Member
Joined
Mar 17, 2008
Posts
61,204
Reaction score
99,943
Habari mbaya hivi punde. Mhe. Makam mkt Prof. Safari na Katibu mkuu BAVICHA Julius Mwita na dereva wao Abasi Wamepata ajari mbaya ya gari Singida itigi kitalaka, wako salama japo hali ya Dereva sio nzuri, wote wapo hospital kwa uchunguzi, gari ina hali mbaya kidogo. Tuwaombee wazidi kuimarika kiafya ya mwili na roho... Amen.

Source: Kiongozi wa CHADEMA.
13934668_10206619229791994_3226273409205712718_n.jpg
14100439_10206619230472011_4015013339788595144_n.jpg
14100439_10206619230472011_4015013339788595144_n.jpg
1471675800920.jpg
 
Habari mbaya hivi punde. Mhe. Makam mkt Prof. Safari na katib mkuu Bavicha Julius Mwita na dereva wao Abasi Wamepata ajari mbaya ya gari Singida itigi kitalaka, wako salama japo hali ya Dereva sio nzuri, wote wapo hospital kwa uchunguzi, gari ina hali mbaya kidogo.Tuwaombee wazidi kuimarika kiafya ya mwili na roho... Amen. Source: Kiongozi wa Chadema View attachment 384589
Ni kweli ila ni jana usiku cyo hivi punde
 
Back
Top Bottom