Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,014
- 144,372
Hivi vitendo vyote vya unyanyasaji kwa wanachama wenu huenda vina lengo moja tu la kutaka muishiwe uvumilivu alafu mchukue maamuzi au mtoe kaulI itakayowapa watu hawa sababu ya kuwashughulikia kabla tarehe ili haijafika.
Mikikaa kimya tabu;mkiongea pia tabu hivyo mjue hawana amani as long as mko huru ila watakuwa na amani tu pale watakapokuwa wamewaweka chini ya uangalizi wao na hili ndio wanalitafuta kwa sasa kuelekea ile tarehe.
kwa sasa mtachokozwa sana na kufanyiwa kila figisifigisu kuanzia nyie viongozi wakuu na hata wanachama wenu ili mmingie katika mtego wa kuunga mkono kila kinachopangwa kufanyika au mtoe kauli watakazozitumua kuwashughulile mpaka siku ile ipite.
Kwa sasa nawashauri muwe makini katika kauli na matendo yenu ingawa yanayoendelea kwakweli yanaumiza sana..
Mikikaa kimya tabu;mkiongea pia tabu hivyo mjue hawana amani as long as mko huru ila watakuwa na amani tu pale watakapokuwa wamewaweka chini ya uangalizi wao na hili ndio wanalitafuta kwa sasa kuelekea ile tarehe.
kwa sasa mtachokozwa sana na kufanyiwa kila figisifigisu kuanzia nyie viongozi wakuu na hata wanachama wenu ili mmingie katika mtego wa kuunga mkono kila kinachopangwa kufanyika au mtoe kauli watakazozitumua kuwashughulile mpaka siku ile ipite.
Kwa sasa nawashauri muwe makini katika kauli na matendo yenu ingawa yanayoendelea kwakweli yanaumiza sana..