Wana JF.
Kiongozi yoyote ni kioo cha jamii, hivi kwa nini hawa viongozi wetu wa Chadema hawajafunga ndoa, sio kama tunaingilia mambo binafsi ya mtu hapana lazima mbele ya jamii waonekane watu wa maadili ili Watanzania wapate kuamini zaidi kuona kweli hawa viongozi wana dhamira ya dhati kuwakomboa wananchi wa Tanzania.
Kwa uchache ngoja niwataje ili wajipange kabla ya uchanguzi ujao wawe wamefunga ndoa.
Willibrod Slaa
Zitto Kabwe
John Mnyika
Joseph Mbilinyi
wengine ni
Regia Mtema
Halima Mdee
Rose Kamili
Esther Matiko
wapo wengi kwa uchache nimewataja hawa naomba ushauri wangu muufanyie kazi
Full crackpot! Naona unakurupuka Unajua kama December 6 2010 Rais Ian Seretse Khama, wa Botswana alitoa tangazo kwa wananchi wake kuwa anatafuta Mke, baada wananchi wake kumwambia urais wake ataupoteza!Crap!! Has nothing to do with leadership. Rais wa Botswana ni one of the best leaders the country has had...hajaoa..
Full crackpot! Naona unakurupuka Unajua kama December 6 2010 Rais Ian Seretse Khama, wa Botswana alitoa tangazo kwa wananchi wake kuwa anatafuta Mke, baada wananchi wake kumwambia urais wake ataupoteza!
Scatty
You are not worth to be Independent Thinker , kama limekushinda kuchanganua kujua CCM nako wengi sana ambao hawajaoa na kuolewa ukamua kushambulia upande mmoja, hapo unajifarijiKwani wewe ni nani humu JF,? mimi nakuona kama mtu wa Controversy tu huna la maana unalolijua! Halafu mimi sio CCM ilo swali peleka Lumumba Magamba watakujibu, mimi ni Independent Thinker, jibu hoja za msingi kwa nini viongozi wa CDM hawataki kufunga ndoa tugande hapo kwenye ili
Huu ushauri ni mzuri zaidi kwa CDM sababu wanapambana kuchukuwa nchi siku zijazo! Wala hakuna sehemu nimemshambulia mtu nimesema ukweli mtupu, kiongozi ni kioo cha jamiiYou are not worth to be Independent Thinker , kama limekushinda kuchanganua kujua CCM nako wengi sana ambao hawajaoa na kuolewa ukamua kushambulia upande mmoja, hapo unajifariji
Zitto Kabwe
Halima Mdee
Blue, huyu ameniudhi sana kamzalisha dada watu Jacquline Mgumia kumuoa hataki.
Red, huyu kazi yake kuwaharibu wasichana watu, sasa hivi anamharibu dada mmoja mbunge wa viti maalum CCM zamani alikuwa anafanya kazi kwenye gazeti moja
ZITTO alipooa wakamtukuzaHii ni changamoto kwao na inabidi wajipange! Nadhani wamekusikia ushauri wako wataufanyia kazi
Wa mdee mbona haufikimkuu hao bado ni vijana na muda wa kuoa/kuolewa ukifika then watafanya hivyo...hii ni tofauti na ccm kwani watu wazima na wazee ni wengi kuliko vijana...tuwape hongera cdm kwa kuwapa nafasi vijana tofauti na vyama vingine vyote.