TITAN
JF-Expert Member
- Dec 13, 2010
- 308
- 47
Ukweli ni kwamba kuna watu wamejitokeza katika Serikali ya CCM wanatoa habari za ki intelejensia kwenye mitandao ili kuweza kudhoofisha kambi inayo andaliwa kuchukua madaraka 2015. Je ni kweli wana CCM wanaweza kujua ni nani mchawi na ni nani anawachafua?
Na wakisha mjua wanaweza kuchukua maamuzi magumu? Kaeni mkao wa kula kujua nini kitatoke soon, na jambo hili litawekwa wazi hapa kwenye jamii, majina kamili ya watu wanao chafua Serekali na ushaidi upo. Je Serekali ikisha pata habari hizi wataweza kuchukua hatua ngumu. tungoje na tuone hii ndiyo Tanzania yetu..:rant:
Na wakisha mjua wanaweza kuchukua maamuzi magumu? Kaeni mkao wa kula kujua nini kitatoke soon, na jambo hili litawekwa wazi hapa kwenye jamii, majina kamili ya watu wanao chafua Serekali na ushaidi upo. Je Serekali ikisha pata habari hizi wataweza kuchukua hatua ngumu. tungoje na tuone hii ndiyo Tanzania yetu..:rant: