Viongozi wa ccm wanasiri gani rohoni mwao??

Taifa_Kwanza

JF-Expert Member
Sep 3, 2010
443
86
Jamani

CHADEMA inazunguka nchi nzima kutafuta wanachama kwa maandamano, kwa kulipua mabomu,
kuichafua CCM, kuamusha UMA, kuwatoa wananchi uoga, kudai katiba, kushinikiza n.k

Maeneo wanayokwenda hawa jamaa sasa hakuna ambaye alitegemea siku moja chama kisicho CCM
kitakwenda kwenye maeneo hayo na kupata wasikilizaji kama inavyoonekana sasa.

wanakwenda vijijini sana, wanakwenda maeneo ambayo ni sawa kabisa na roho ya CCM, Vinapata
wasikilizaji wengi sana, ikiwa ni dalili ya kukubarika.

Wakati haya yote yanafanyika viongozi wa CCM hata hawajali, hakuna anayesituka, ndio kwanza
wanaitisha semina za kisanii, wanachama wao wanapungua, wanalishwa sumu kali sana na
hatimaye wanawachukia, wao hawajali.

Hili linanitisha sana, CCM kimekuwa ni kama mtu asiyeogopa kifo, ni kama mtu mgonjwa sana,
yuko hoi kitandani kwa maradhi lakini hataki kunywa dawa, ni sawa na Muhalifu aliyezingirwa na
askali wenye siraha kali anaambiwa ajisalimishe lakini hataki na anawaambia wafanye chochote
lakini hatajisalimisha.

Ninapatwa na uoga sana, Kinachowapa nguvu za kujiamini namna hii ni nini?
Nahisi wanasiri OVU sana moyoni mwao. Wanaweza wakawa wameishaweka nadhiri kwamba
ni bora damu imwagike kuliko kuachia dora...
 
Mbo ni Simpo sana juu ya siri yenyewe??????????

Pale CCM hadi hivi sasa siri kubwa walionayo rohoni mwao huko CCM ni juu ya tarehe chama hiki kitakapo anguka chini PWAAAAAAAA na wengine huku uraiani tukaanza kuimba nyimbo za ' TUMPELEKE KIJANA HUYU CCM ...' huku tukielekea mazikoni pale Makaburi ya Kisutu kulikozikwa pia makada wake wengine akina Mzee Moses Nauye na Abbasi Gulamli (mzaliwa wa kijiji cha Ifakara, Morogoro).
 
Hawana siri yeyote on the contrary it is a sign that they are weak and defeated
Siri waliyo nayo ni kupanga jinsi ya kuja na sera za uongo, kama kiongozi mmoja alivyo sema kuwa uongo ukiusisitiza unageuka kuwa ukweli!!!!!!
Kila linalosemwa na CDM ni la ukweli sasa watasimama wapi kupinga ukweli, lazima wapinge ukweli kwa kusema uongo. Lakini siku hizi hata huko vijijini watu wamesha choka kudanganywa!!!!!!! Its a matter of time kila jambo litakuwa wazi!!!!!!!
 
Back
Top Bottom