Taifa_Kwanza
JF-Expert Member
- Sep 3, 2010
- 443
- 86
Jamani
CHADEMA inazunguka nchi nzima kutafuta wanachama kwa maandamano, kwa kulipua mabomu,
kuichafua CCM, kuamusha UMA, kuwatoa wananchi uoga, kudai katiba, kushinikiza n.k
Maeneo wanayokwenda hawa jamaa sasa hakuna ambaye alitegemea siku moja chama kisicho CCM
kitakwenda kwenye maeneo hayo na kupata wasikilizaji kama inavyoonekana sasa.
wanakwenda vijijini sana, wanakwenda maeneo ambayo ni sawa kabisa na roho ya CCM, Vinapata
wasikilizaji wengi sana, ikiwa ni dalili ya kukubarika.
Wakati haya yote yanafanyika viongozi wa CCM hata hawajali, hakuna anayesituka, ndio kwanza
wanaitisha semina za kisanii, wanachama wao wanapungua, wanalishwa sumu kali sana na
hatimaye wanawachukia, wao hawajali.
Hili linanitisha sana, CCM kimekuwa ni kama mtu asiyeogopa kifo, ni kama mtu mgonjwa sana,
yuko hoi kitandani kwa maradhi lakini hataki kunywa dawa, ni sawa na Muhalifu aliyezingirwa na
askali wenye siraha kali anaambiwa ajisalimishe lakini hataki na anawaambia wafanye chochote
lakini hatajisalimisha.
Ninapatwa na uoga sana, Kinachowapa nguvu za kujiamini namna hii ni nini?
Nahisi wanasiri OVU sana moyoni mwao. Wanaweza wakawa wameishaweka nadhiri kwamba
ni bora damu imwagike kuliko kuachia dora...
CHADEMA inazunguka nchi nzima kutafuta wanachama kwa maandamano, kwa kulipua mabomu,
kuichafua CCM, kuamusha UMA, kuwatoa wananchi uoga, kudai katiba, kushinikiza n.k
Maeneo wanayokwenda hawa jamaa sasa hakuna ambaye alitegemea siku moja chama kisicho CCM
kitakwenda kwenye maeneo hayo na kupata wasikilizaji kama inavyoonekana sasa.
wanakwenda vijijini sana, wanakwenda maeneo ambayo ni sawa kabisa na roho ya CCM, Vinapata
wasikilizaji wengi sana, ikiwa ni dalili ya kukubarika.
Wakati haya yote yanafanyika viongozi wa CCM hata hawajali, hakuna anayesituka, ndio kwanza
wanaitisha semina za kisanii, wanachama wao wanapungua, wanalishwa sumu kali sana na
hatimaye wanawachukia, wao hawajali.
Hili linanitisha sana, CCM kimekuwa ni kama mtu asiyeogopa kifo, ni kama mtu mgonjwa sana,
yuko hoi kitandani kwa maradhi lakini hataki kunywa dawa, ni sawa na Muhalifu aliyezingirwa na
askali wenye siraha kali anaambiwa ajisalimishe lakini hataki na anawaambia wafanye chochote
lakini hatajisalimisha.
Ninapatwa na uoga sana, Kinachowapa nguvu za kujiamini namna hii ni nini?
Nahisi wanasiri OVU sana moyoni mwao. Wanaweza wakawa wameishaweka nadhiri kwamba
ni bora damu imwagike kuliko kuachia dora...