Wasinge publish wangewaona labda ila kutangaza vile sidhani wanajua mnataka political mileage ....pia ukute kuna watu wameshajiandikisha plus picha zao na baruaserikali mitaa wanazo ndio wanawaona.....ila naamini soon warapata haki yao mama ameanza nao ....kesi yao inasikilizwa speedsana sasa.....ni suala la muda tu warakuwa huru haki yao watapataLeo Mei 14, 2021, Eid Mosi, Baraza la Vijana Chadema (BAVICHA) likiongozwa na Mwenyekiti Mhe. John Pambalu wamefika Gereza la Ukonga kuwaona Masheikh wa Uamsho. Askari Magereza wamewawazuia kuwaona kwa kile walichodai maelekezo kutoka juu.
Mwenyekiti ameambatana na Mwenezi Twaha Mwaipaya, Mwenyekiti wa Bavicha Mkoa wa Ilala Frank Waise, pamoja na CHASO Mkoa wa Dar es salaam.
My take.
Mpunguze viherehere kwa mambo msiyoyajua.
Yapi tusiyoyajua,au ubambikaji wa kesi.Na kujaa kwa mahabusu,ama nawe ni mshiriki katina ujazaji magereza ama ubambikaji kesi,utetezi wako tafadhali kama hautajali.Leo Mei 14, 2021, Eid Mosi, Baraza la Vijana Chadema (BAVICHA) likiongozwa na Mwenyekiti Mhe. John Pambalu wamefika Gereza la Ukonga kuwaona Masheikh wa Uamsho. Askari Magereza wamewawazuia kuwaona kwa kile walichodai maelekezo kutoka juu.
Mwenyekiti ameambatana na Mwenezi Twaha Mwaipaya, Mwenyekiti wa Bavicha Mkoa wa Ilala Frank Waise, pamoja na CHASO Mkoa wa Dar es salaam.
My take.
Mpunguze viherehere kwa mambo msiyoyajua.
Naona bado ile Sheria ya MAELEKEZO KUTOKA JUU bado inaendelea.Kwanini wafukuzwe ni sheria ipi inayozuia watuhumiwa wasitembelewe na ndugu au marafiki zao?
Na kapambahu kalikuwepoLeo Mei 14, 2021, Eid Mosi, Baraza la Vijana Chadema (BAVICHA) likiongozwa na Mwenyekiti Mhe. John Pambalu wamefika Gereza la Ukonga kuwaona Masheikh wa Uamsho. Askari Magereza wamewawazuia kuwaona kwa kile walichodai maelekezo kutoka juu.
Mwenyekiti ameambatana na Mwenezi Twaha Mwaipaya, Mwenyekiti wa Bavicha Mkoa wa Ilala Frank Waise, pamoja na CHASO Mkoa wa Dar es salaam.
My take.
Mpunguze viherehere kwa mambo msiyoyajua.
Leo Mei 14, 2021, Eid Mosi, Baraza la Vijana Chadema (BAVICHA) likiongozwa na Mwenyekiti Mhe. John Pambalu wamefika Gereza la Ukonga kuwaona Masheikh wa Uamsho. Askari Magereza wamewawazuia kuwaona kwa kile walichodai maelekezo kutoka juu.
Mwenyekiti ameambatana na Mwenezi Twaha Mwaipaya, Mwenyekiti wa Bavicha Mkoa wa Ilala Frank Waise, pamoja na CHASO Mkoa wa Dar es salaam.
My take.
Mpunguze viherehere kwa mambo msiyoyajua.
Sema mpiganaji,mpigania haki na uhuru alikuwepo aka mwalimu.Na kapambahu kalikuwepo
Eti hawanao wanakikundi kinachotafuta kushika dola.Kwanini wafukuzwe ni sheria ipi inayozuia watuhumiwa wasitembelewe na ndugu au marafiki zao?
Wewe ndiyo kwenye kihelehele,unashinda kuleta taalifa za Buhigwe na Mhambwe,umekalia kuchunguzwa wezio,Leo Mei 14, 2021, Eid Mosi, Baraza la Vijana Chadema (BAVICHA) likiongozwa na Mwenyekiti Mhe. John Pambalu wamefika Gereza la Ukonga kuwaona Masheikh wa Uamsho. Askari Magereza wamewawazuia kuwaona kwa kile walichodai maelekezo kutoka juu.
Mwenyekiti ameambatana na Mwenezi Twaha Mwaipaya, Mwenyekiti wa Bavicha Mkoa wa Ilala Frank Waise, pamoja na CHASO Mkoa wa Dar es salaam.
My take.
Mpunguze viherehere kwa mambo msiyoyajua.
Hako kakijana ka kutoka sukuma gangiSema mpiganaji,mpigania haki na uhuru alikuwepo aka mwalimu.
Expensive popularity ilikuwa ni ile ya Kayafa kukana uwepo wa Corona Tanzania kisha Corona ikagharimu maisha yake!Cheap popularity......
Kuna limit ya idadi ya watu kuwatembelea wafugwa.pamoja na dakika za kutumia kumuona,hiyo ni kwa dunia nzimaKwanini wafukuzwe ni sheria ipi inayozuia watuhumiwa wasitembelewe na ndugu au marafiki zao?
Sio wote wenye akili mbovu,wengine shida ni kuwa walikimbia darasa,ama wanufaika na wakwamia awamu tangulizi.Hako kakijana ka kutoka sukuma gangi
Leo Mei 14, 2021, Eid Mosi, Baraza la Vijana Chadema (BAVICHA) likiongozwa na Mwenyekiti Mhe. John Pambalu wamefika Gereza la Ukonga kuwaona Masheikh wa Uamsho. Askari Magereza wamewawazuia kuwaona kwa kile walichodai maelekezo kutoka juu.
Mwenyekiti ameambatana na Mwenezi Twaha Mwaipaya, Mwenyekiti wa Bavicha Mkoa wa Ilala Frank Waise, pamoja na CHASO Mkoa wa Dar es salaam.
My take.
Mpunguze viherehere kwa mambo msiyoyajua.
Kumbe ilikuwa NI. KIKI kama kawaida yenu ilimfukuzwe na kujizolea pointii...kitendo cha askari magereza kuwafukuza ndio kimewapa Bavicha pointi za bure za kisiasa. 🤣