Hata hivyo nitashangaa kama waliweza kuruhusiwa kuingia magereza mengine kufanya uchochezi wao. Kiutaratibu hawakua na haki kupewa kibali kuingia gereza lolote kupeleka siasa zao za uchochezi huko. Waziri mwenye dhamana yafaa afuatilie kujua kama waliweza kuingia magereza zipi kwa utaratibu gani ili achukue hatua zinazostahili.Leo Mei 14, 2021, Eid Mosi, Baraza la Vijana Chadema (BAVICHA) likiongozwa na Mwenyekiti Mhe. John Pambalu wamefika Gereza la Ukonga kuwaona Masheikh wa Uamsho. Askari Magereza wamewawazuia kuwaona kwa kile walichodai maelekezo kutoka juu.
Mwenyekiti ameambatana na Mwenezi Twaha Mwaipaya, Mwenyekiti wa Bavicha Mkoa wa Ilala Frank Waise, pamoja na CHASO Mkoa wa Dar es salaam.
My take.
Mpunguze viherehere kwa mambo msiyoyajua
Kweli kabisaHata hivyo nitashangaa kama waliweza kuruhusiwa kuingia magereza mengine kufanya uchochezi wao. Kiutaratibu hawakua na haki kupewa kibali kuingia gereza lolote kupeleka siasa zao za uchochezi huko. Waziri mwenye dhamana yafaa afuatilie kujua kama waliweza kuingia magereza zipi kwa utaratibu gani ili achukue hatua zinazostahili.
Hata hivyo nitashangaa kama waliweza kuruhusiwa kuingia magereza mengine kufanya uchochezi wao. Kiutaratibu hawakua na haki kupewa kibali kuingia gereza lolote kupeleka siasa zao za uchochezi huko. Waziri mwenye dhamana yafaa afuatilie kujua kama waliweza kuingia magereza zipi kwa utaratibu gani ili achukue hatua zinazostahili.
Leo Mei 14, 2021, Eid Mosi, Baraza la Vijana Chadema (BAVICHA) likiongozwa na Mwenyekiti Mhe. John Pambalu wamefika Gereza la Ukonga kuwaona Masheikh wa Uamsho. Askari Magereza wamewawazuia kuwaona kwa kile walichodai maelekezo kutoka juu.
Mwenyekiti ameambatana na Mwenezi Twaha Mwaipaya, Mwenyekiti wa Bavicha Mkoa wa Ilala Frank Waise, pamoja na CHASO Mkoa wa Dar es salaam.
My take.
Mpunguze viherehere kwa mambo msiyoyajua.
Leo Mei 14, 2021, Eid Mosi, Baraza la Vijana Chadema (BAVICHA) likiongozwa na Mwenyekiti Mhe. John Pambalu wamefika Gereza la Ukonga kuwaona Masheikh wa Uamsho. Askari Magereza wamewawazuia kuwaona kwa kile walichodai maelekezo kutoka juu.
Mwenyekiti ameambatana na Mwenezi Twaha Mwaipaya, Mwenyekiti wa Bavicha Mkoa wa Ilala Frank Waise, pamoja na CHASO Mkoa wa Dar es salaam.
My take.
Mpunguze viherehere kwa mambo msiyoyajua.
Wale sio ndugu wala marafiki zaoKwanini wafukuzwe ni sheria ipi inayozuia watuhumiwa wasitembelewe na ndugu au marafiki zao?
Hii ndiyo sababu ya bavicha kufukuzwa?Askari Magereza wanatumika kama Kondomu au Toilet paper. Walimpiga Halima Mdee na genge lake leo hii ni wabunge.
Waliwapiga kina Waitara, Katambi na Silinde leo ni Mawaziri.
Wao wataendelea kuvaa uniform zilizobabuka na viatu vilivyokaa upande, na siku wakistaafu inachukua miaka 7 kupata pensheni.
Kuna kazi nyingine zina laana.
Hapo hawajapanda vyeo wala kupandishiwa mishahara kwa miaka 6.
Umepotoka
BehaviouristExpensive popularity ilikuwa ni ile ya Kayafa kukana uwepo wa Corona Tanzania kisha Corona ikagharimu maisha yake!
Naona bado ile Sheria ya MAELEKEZO KUTOKA JUU bado inaendelea.
Behaviourist
Wewe unapingana na taarifa ya serikali iliyotuambia kuwa sababu ya kifo chake huyo Jiwe, ilikuwa ni mfumo Wa Umeme kwenye moyo wake?
Wajinga kama hao ndio watasababisha hii Nchi tunyukane kama SomaliaVipenzi wa Ole si umewaona mkuu
Hapo mwenye kiherehere ni nani?Weye fisiemu uliyeenda kuchungulia kama makamanda watawaona wazee wa uamsho au ?