Viongozi wa BAVICHA wafukuzwa Gereza la Ukonga

Kinuju

JF-Expert Member
Mar 20, 2021
2,392
5,304
Leo Mei 14, 2021, Eid Mosi, Baraza la Vijana CHADEMA (BAVICHA) likiongozwa na Mwenyekiti. John Pambalu wamefika Gereza la Ukonga kuwaona Masheikh wa Uamsho.

Askari Magereza wamewazuia kuwaona kwa kile walichodai maelekezo kutoka juu.

Mwenyekiti ameambatana na Mwenezi Twaha Mwaipaya, Mwenyekiti wa Bavicha Mkoa wa Ilala, Frank Waise pamoja na CHASO Mkoa wa Dar es salaam.

=====
My take.

Mpunguze viherehere kwa mambo msiyoyajua.
 
Leo Mei 14, 2021, Eid Mosi, Baraza la Vijana Chadema (BAVICHA) likiongozwa na Mwenyekiti Mhe. John Pambalu wamefika Gereza la Ukonga kuwaona Masheikh wa Uamsho. Askari Magereza wamewawazuia kuwaona kwa kile walichodai maelekezo kutoka juu.

Mwenyekiti ameambatana na Mwenezi Twaha Mwaipaya, Mwenyekiti wa Bavicha Mkoa wa Ilala Frank Waise, pamoja na CHASO Mkoa wa Dar es salaam.

My take.

Mpunguze viherehere kwa mambo msiyoyajua.
Wasinge publish wangewaona labda ila kutangaza vile sidhani wanajua mnataka political mileage ....pia ukute kuna watu wameshajiandikisha plus picha zao na baruaserikali mitaa wanazo ndio wanawaona.....ila naamini soon warapata haki yao mama ameanza nao ....kesi yao inasikilizwa speedsana sasa.....ni suala la muda tu warakuwa huru haki yao watapata
 
Leo Mei 14, 2021, Eid Mosi, Baraza la Vijana Chadema (BAVICHA) likiongozwa na Mwenyekiti Mhe. John Pambalu wamefika Gereza la Ukonga kuwaona Masheikh wa Uamsho. Askari Magereza wamewawazuia kuwaona kwa kile walichodai maelekezo kutoka juu.

Mwenyekiti ameambatana na Mwenezi Twaha Mwaipaya, Mwenyekiti wa Bavicha Mkoa wa Ilala Frank Waise, pamoja na CHASO Mkoa wa Dar es salaam.

My take.

Mpunguze viherehere kwa mambo msiyoyajua.
Yapi tusiyoyajua,au ubambikaji wa kesi.Na kujaa kwa mahabusu,ama nawe ni mshiriki katina ujazaji magereza ama ubambikaji kesi,utetezi wako tafadhali kama hautajali.
 
Leo Mei 14, 2021, Eid Mosi, Baraza la Vijana Chadema (BAVICHA) likiongozwa na Mwenyekiti Mhe. John Pambalu wamefika Gereza la Ukonga kuwaona Masheikh wa Uamsho. Askari Magereza wamewawazuia kuwaona kwa kile walichodai maelekezo kutoka juu.

Mwenyekiti ameambatana na Mwenezi Twaha Mwaipaya, Mwenyekiti wa Bavicha Mkoa wa Ilala Frank Waise, pamoja na CHASO Mkoa wa Dar es salaam.

My take.

Mpunguze viherehere kwa mambo msiyoyajua.
Na kapambahu kalikuwepo
 
The expected, nilijua tu kuwa hilo halliwezekani. Lakini limeandikwa kwenye historia yetu
Leo Mei 14, 2021, Eid Mosi, Baraza la Vijana Chadema (BAVICHA) likiongozwa na Mwenyekiti Mhe. John Pambalu wamefika Gereza la Ukonga kuwaona Masheikh wa Uamsho. Askari Magereza wamewawazuia kuwaona kwa kile walichodai maelekezo kutoka juu.

Mwenyekiti ameambatana na Mwenezi Twaha Mwaipaya, Mwenyekiti wa Bavicha Mkoa wa Ilala Frank Waise, pamoja na CHASO Mkoa wa Dar es salaam.

My take.

Mpunguze viherehere kwa mambo msiyoyajua.
 
Leo Mei 14, 2021, Eid Mosi, Baraza la Vijana Chadema (BAVICHA) likiongozwa na Mwenyekiti Mhe. John Pambalu wamefika Gereza la Ukonga kuwaona Masheikh wa Uamsho. Askari Magereza wamewawazuia kuwaona kwa kile walichodai maelekezo kutoka juu.

Mwenyekiti ameambatana na Mwenezi Twaha Mwaipaya, Mwenyekiti wa Bavicha Mkoa wa Ilala Frank Waise, pamoja na CHASO Mkoa wa Dar es salaam.

My take.

Mpunguze viherehere kwa mambo msiyoyajua.
Wewe ndiyo kwenye kihelehele,unashinda kuleta taalifa za Buhigwe na Mhambwe,umekalia kuchunguzwa wezio,

Angalia utaolewa na Chadema.
 
Leo Mei 14, 2021, Eid Mosi, Baraza la Vijana Chadema (BAVICHA) likiongozwa na Mwenyekiti Mhe. John Pambalu wamefika Gereza la Ukonga kuwaona Masheikh wa Uamsho. Askari Magereza wamewawazuia kuwaona kwa kile walichodai maelekezo kutoka juu.

Mwenyekiti ameambatana na Mwenezi Twaha Mwaipaya, Mwenyekiti wa Bavicha Mkoa wa Ilala Frank Waise, pamoja na CHASO Mkoa wa Dar es salaam.

My take.

Mpunguze viherehere kwa mambo msiyoyajua.

..kitendo cha askari magereza kuwafukuza ndio kimewapa Bavicha pointi za bure za kisiasa. 🤣
 
9 Reactions
Reply
Back
Top Bottom