Kinuju
JF-Expert Member
- Mar 20, 2021
- 2,392
- 5,304
Leo Mei 14, 2021, Eid Mosi, Baraza la Vijana CHADEMA (BAVICHA) likiongozwa na Mwenyekiti. John Pambalu wamefika Gereza la Ukonga kuwaona Masheikh wa Uamsho.
Askari Magereza wamewazuia kuwaona kwa kile walichodai maelekezo kutoka juu.
Mwenyekiti ameambatana na Mwenezi Twaha Mwaipaya, Mwenyekiti wa Bavicha Mkoa wa Ilala, Frank Waise pamoja na CHASO Mkoa wa Dar es salaam.
=====
My take.
Mpunguze viherehere kwa mambo msiyoyajua.
Askari Magereza wamewazuia kuwaona kwa kile walichodai maelekezo kutoka juu.
Mwenyekiti ameambatana na Mwenezi Twaha Mwaipaya, Mwenyekiti wa Bavicha Mkoa wa Ilala, Frank Waise pamoja na CHASO Mkoa wa Dar es salaam.
=====
My take.
Mpunguze viherehere kwa mambo msiyoyajua.