Viongozi UKAWA acheni danganya toto

Viongozi UKAWA acheni danganya toto

nakubaliana nawe, kwa majimbo machache waliyopata ukawa ukilinganisha na CCM, ni dhahiri ukawa wameshindwa kura za uraisi. Tunawataka wasiwe na wivu wa ki*ke wakubali kushindwa wasipotoshe wananchi. Ushauri wa bure kwako waendelee tu kujenga chama chao kisayansi na waache ukanda na ukabila ktk chama chao. Waige mfano wa CCM pamoja ina madhambi yake lakini ni chama chenye mwelekeo wa kitaifa na kimeenea mpata kwenye grassroots. CCM ina wanachama 6Milllioni+ nchi nzima, kila mwanachama angetafuta watu wawili tu wa kuichagua CCM tayar CCM ilikuwa na kura 18million+. Hapa utaona hata kura 8million ambazo Magufuli amepata ni wazi kuna wana CCM hawakufanya kampeni au walihasi.
CCM ni chama dume ikijipanga vizur na kutumikia wananchi hakuna namna itatoka madarakani, upinzani uwepo kwa ajili ya kuipa changamoto bungeni. Kwa hiyo upinzani undeni chama kimoja tu badala ya kuwa na ma vyama mengiii na mkijenge kiwe na mtandao mpana mpaka vitongojini na muodoe ukabla na ukanda kwenye vyama vya upinzani alafu ndo mshindane na CCM. Kinyume cha hapo mtakuwa mnashindwa tu hamna namna ingine
Wanasema chama cha kanda ya kaskazini, ni hatari kuuendekeza ukanda
 
hivi ili uwe mwanaukawa halisi kigezo cha msingi ni kupinga matokeo yote yaliyokinyume na wao?? maana radio ikitangaza habari za serikali kwa uzuri ni adui.. mtu akijua ukweli akahama anakuwa adui.. kingunge alipokuwa ccm aliitwa mchawi wa chama na alipohamia kwao ni malaika... slaa alikuwa kamanda baada ya kuhama msaliti duuhh lowasa akiwa ccm alikuwa mwizi ila leo ni nani sijui malizieni wenyewe
 
Iq and level of education are two different things, knowledge can be easily attained by getting high quality education or pursuing degrees in school. on other hand, IQ is measured according to the actual capacity of the brain to process various types of information.
Is true that the people who live in countries with poor education quality automatically have low IQ.

Kwa tz ni wale tu wanaotafuta elimu nje ya madarasa na wanatoka sehemu zenye lishe nzuri ndio wanauwezo wa kufikiria, mtu aliyesoma kuanzia darasa la kwanza mpaka chuo kikuu akapata kazi serekalini hawezi kuwa na uwezo wa kuchambua vitu kwani amekaririshwa tu, makampuni ya nje yakija hawa hawezi kupata kazi, wasaini mikataba hawajui imeandikwa nini, ukiwahonga pesa kidogo wanakupa nchi, ukiwaambia ccm ni mbaya hafikiri ni kwani ni mbaya, hawajua hata maisha wanayoishi ni mabaya na hatari, wao wanaona kuendesha gari ni fahari lakini bahati mbaya wakapaja ajali hawataokelewa na dawa hakuna na muda wa kwenda india hakuna watakufa tu, hawa kama ni mainjinia hawawezi kupanga miji, kubuni machine, na vifaa vya kusukuma maendeleo nchi, angalia waliokimbilia nje ya nchi hawawezi kusadia familia nyumbani na nchi kwani hawawezi hata kuongoe kingereza vizuri na elimu mbovu hivo hawapati kazi nzuri, Ni somo pana na linahitaji kufundishwa sana ili wajue ushabiki wao kwa ccm unawathiri vipi maisha yao, familia zao na nchi kwa ujumla.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom