Kwa wenye kumbukumbu, wakumbuke miaka ya nyuma mtaa wa lumumba kuanzia makutano ya uhuru ulikuwa unafungwa baadhi ya siku katika wiki kwa ajili ya wafanyabiashara wadogowadogo.
Inawezekana.
Pia mtaa wa Kongo Kariakoo, ni mtaa ambao wafanyabiashara wadogowadogo wamekuwa hapo kwa miongo kadhaa sasa, cha msingi ni kuwatengea maeneo yao maalum yenye huduma zote za muhimu.
Inawezekana.