Chuki hupandwa, huchipua na hukua na huenea!
Chuki ni kama harufu mbaya ambapo bila kutoa uozo harufu inaendelea kuwepo!
Viongozi wengi hasa awamu hii wamekosa maono, wamegeuka wanyampala! Viobgozi wengi siku hizi Wanazani kuongoza na udanganya, kuficha, kupiga marufuku au kuzalilisha!
Huwezi kuongoza kwa kupiga marufuku! Kama kiongozi hauna suluhisho ni afadhali kukaa kimya ofisini!
Mfano!
Kiongozi Huwezi kufunga njia kisa kwako kuna msiba ili kushinikiza wapita njia wahudhurie msiba wako!
Kufanya hivyo ni unyampala na ukatili kwasababu lazima ufikilie kuna watu wamekodi usafili watahitaji kupita, kuna wagonjwa watahitaji kupita, kuna malighafi zinahitaji kupita;
Sasa kisa wewe una msiba unataka hayo yote yasifanyike! Hivi tangu lini Kulia au kucheka ikawa ni jambo la lazima?!
Viongozi Hizo marufuku zenu ziangalieni mnagusa maisha ya watu, Marufuku zizingatie uhalisia, Ratiba na uchumi wa watu!
Mtu anakuwa kashagharamia halafu ghafla kiongozi anapiga marufuku bila kutaja ni kifungu gani cha sheria kinalazimisha marufuku yake!
Kiongozi msiwe wanyampala, tumieni akili na utu kabla ya kuamua msije kuharibu!
Chuki ni kama harufu mbaya ambapo bila kutoa uozo harufu inaendelea kuwepo!
Viongozi wengi hasa awamu hii wamekosa maono, wamegeuka wanyampala! Viobgozi wengi siku hizi Wanazani kuongoza na udanganya, kuficha, kupiga marufuku au kuzalilisha!
Huwezi kuongoza kwa kupiga marufuku! Kama kiongozi hauna suluhisho ni afadhali kukaa kimya ofisini!
Mfano!
Kiongozi Huwezi kufunga njia kisa kwako kuna msiba ili kushinikiza wapita njia wahudhurie msiba wako!
Kufanya hivyo ni unyampala na ukatili kwasababu lazima ufikilie kuna watu wamekodi usafili watahitaji kupita, kuna wagonjwa watahitaji kupita, kuna malighafi zinahitaji kupita;
Sasa kisa wewe una msiba unataka hayo yote yasifanyike! Hivi tangu lini Kulia au kucheka ikawa ni jambo la lazima?!
Viongozi Hizo marufuku zenu ziangalieni mnagusa maisha ya watu, Marufuku zizingatie uhalisia, Ratiba na uchumi wa watu!
Mtu anakuwa kashagharamia halafu ghafla kiongozi anapiga marufuku bila kutaja ni kifungu gani cha sheria kinalazimisha marufuku yake!
Kiongozi msiwe wanyampala, tumieni akili na utu kabla ya kuamua msije kuharibu!