mbona sasa hawaoneshi nia ya kushika dola? Kumbuka cdm haina dola, kauli hizo zingetoka ccm kuelekea upinzani sitashangaa lakini zikitoka upinzani kwenda upinzani zinaacha viulizo vingi sana!NAMPONGEZA maalim seif kwa kuacha ubaguzi na kufanya siasa bara. sasa ni zamu ya dk.slaa na mbowe kuacha ubaguzi na kuenda kufanya siasa pemba.