Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 137,544
- 272,266
zenji ni yakuigwa na wabara
Imefahamika kwamba Tanganyika itafufukia zanzibar .
zenji ni yakuigwa na wabara
Mwaka huu itabidi utage.Niko lumumba hapa tunapanga kuandamana
Kwanini Dr Slaa haoni umuhimu wa Zitto kuhama Chadema.
Hakuna kulala.
Hakuna kuwaachia chama cha mafisadi na viongozi wao wapumue.
Tutawabana kila kona.
Sababu ya kuwaondoa tunayo, nia ya kuwaondoa tunayo, na uwezo wa kuwaondoa tunao.
Mpaka kieleweke,
People's Power!!!
NI kazi moja Tu!!! FUTA DELETE KABISA
Eee bhana umeandika kikakamavu sana ! Dah! Hadi raha aisee !They look smart. I admire their cloth color which is also favorable national color in 2015. Tutazivaa sana, kama mnajichimbia kaburi anza mapema...no jock in serious political matters like our Katiba. Chezea sehemu nyingine sio katiba!
Chadema haihitaji kura za wazanzibari kushindi kiti cha Urais Tanzania Tundu Lissu
CUF ni chama cha Zanzibar - Tundu Lissu
hawa jamaa ni wasanii sana yaani watoto wamelazimishwa kabisa hawana ata chembe ya furahaa,watoto wamekunja sura
pia wanakiuka haki ya hawa watoto walitakiwa kuwa darasani muda huu wenyewe wanawatumia kwenye siasa
![]()
obama wa bongo kweli hao watoto walitakiwa shule lakini chadema wakawatumia kwenye siasa, wenzio hapa chini wao walishamaliza skuli kitambo sana.
Hao watoto walojazana hapo mbele nao washamaliza skuli.
View attachment 193035
Uyu alobeba bendera keshamaliza Skuli
View attachment 193034
Propaganda za kipuuzi sana! Inaonekana bado una akili za '95 tulipokuwa tunawekewa picha za mauaji ya Rwanda!
viongozi wa chadema wakiwapungia mikono wananchi waliofika kuwapokea uwanja wa ndege wa chakechake pemba baada ya kuwasili kisiwani humo kwa mkutano wao wakiwa na katibu mkuu wa chadema slaa.katibu mkuu wa chadema dk,slaa akivishwa koja la maua na mtoto aliyweandaliwa katika sherehe za mapokezi ya viongozi hao walipowasili uwanja wa ndege pemba kwa ziara yao na kuzungumza na wanachama wao.
ngoma ya kibati ikitumbuiza mapokezi ya viongozi wa chadema huko pemba.
katibu mkuu wa chadema taifa.dk slaa akiwahutubia wanachama wa chadema huko[font=&]katika ukumbi wa skuli ya sekondari ya fidelcastro pemba.[/font]
chanzo: Zanzinews
Asante sana mkuu ruttaChadema haihitaji kura za wazanzibari kushindi kiti cha Urais Tanzania Tundu Lissu
CUF ni chama cha Zanzibar - Tundu Lissu
cdm = chama dume cha maandamano
Mmewalipa bei gani hawa ili wawape promo