Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 137,589
- 272,331
cdm = chama dume cha maandamano
CHAMA CHA SIASA ni MABARABARANI NA MAJUKWAANI - JK NYERERE .
cdm = chama dume cha maandamano
mtasubiri sn! matumain ya kupiga teke hewa. endelea!
Mmewalipa bei gani hawa ili wawape promo
chadema haihitaji kura za wazanzibari kushindi kiti cha urais tanzania tundu lissu
cuf ni chama cha zanzibar - tundu lissu
No mattercdm = chama dume cha maandamano
we mama tulia dawa ikuingie.umechanganyikiwa hadi umesahau kwamba hii picha ni ya wikiend na coment yako hii ni ya Jumapili.kama huko nchini kwenu kisheria wanenu wanasoma na J.pili kashitaki.Sisi huku Tanzania ni mapumziko.hawa jamaa ni wasanii sana yaani watoto wamelazimishwa kabisa hawana ata chembe ya furahaa,watoto wamekunja sura
pia wanakiuka haki ya hawa watoto walitakiwa kuwa darasani muda huu wenyewe wanawatumia kwenye siasa
![]()
Hili jambo mnaweza kulibeza lakini wanasiasa makini kamwe hawawezi kulidharau.Ni wakati mufaka sasa CCM kuna na siasa mbadala na kuweka kando ghilba.Kila siku kuna jambo jipya linazuka kuhusiana na upigaji kura Bunge la katiba,juzi kiongozi wa NCCR Mageuzi Zanzibar alikataa kata kata hakupiga kura wala kushiriki mchakato wa katiba mpya,leo tunaambiwa Zakia Meghji kapiga kura kama Mzanzibar wakati tunajua huyu kesha kuwa mbara kuanzia ukuu wa wilaya ya Moshi,ubunge wa kuteuliwa upande wa bara na nk.kesho tutasikia makubwa zaidi achilia mbali wapigakura wa fax....
kila la heri kadima japokuwa siasa za zanzibar ni .......
chadema kwa zanzibar ni sawa kuuza bible makkah...
kweli ccm ni wapuuzi, maana hata maswali wanayouliza ni ya kipuuzi tu.mkuu wameenda kufanya nini sasa huko?
nitawashangaa sana wazanzibari wakikubali unafki wa viongozi wa chadema, ikumbukwe ni mara nyingi tu viongozi wa chadema walitumia maneno ya kashfa kuwakebehi wazanzibari akiwemo lissu ,
wazanzibari tuna matatizo yetu sawa lakini kamwe tusiwskubali wanafik wanufaike na matatizo yetu, wao waendelee na maandamano yao huko bara
Huo unaitwa wivu wa kugombaniA bwana
asante mpuuzi kutoka chama cha wapuuzi.
Sisi ccm ni wapuuzi, by kinana.
teh teh teh mtasubiri sana kupewa nchi viazi kama nyie