Viongozi CHADEMA Wawasili Pemba

Viongozi CHADEMA Wawasili Pemba

kweli ccm ni wapuuzi, maana hata maswali wanayouliza ni ya kipuuzi tu.

Sisi ccm ni wapuuzi. By kinana.

Mkuu unaulizia chama unachosemaga kimekufa?? Pole mpuuzi.

Nashangaa maana chadema na pemba wapi na wapi? Labda kuvua samaki.
 
pole sana mpuuzi unabishana na maneno ya katibu wako mkuu?? Nikuripoti ukose kibarua hapa cha buku 7. Katibu wako amesema hivi " sisi ccm ni wapuuzi"

sasa wewe msukule una ujasiri wa kumpinga katibu wako mkuu.??.. Hujui utatoswa hata hiyo buku 7, au nikuitie vuta ni kuvute akunyang'anye hiyo id, na tablet.... Huwezi kubadilika wewe ni mpuuzi tu,

Teh teh teh kwani Dj MBOOwe alivyombandua yule Mbunge wa kuteuliwa ndio kakubandua na wewe? So hiyo ni kauli yake tu sio sheria!
 
Sijapenda kuwashirikisha watoto wadogo hivyo kwenye upuuzi
 
CUF mtajuta kuwakaribisha cdm huko pemba, wanajipandikiza taratibu mkija kushtuka Hamna chenu!!
open your eyes properly
 
kila siku ninasema hila kwa sasa haina nafasi huu ni wakati wa uwazi na ukweli,kwa nini ccm mnashindwa kujifunza? kuepukana na hila

Hao wamezoea vya kunyonga, vya kuchinza hawaviwezi. shetwani hata akizeeka hawezi kuwa malaika.
 
Chadema wawashukuru CUF angalau hata wameambualia kuikanyaga Pemba, wanajua kuitumia fursa na nyie CUF mtakapokuja kujua kwamba mnatumiwa na Chadema mtakua mmechelewa, ngoja tuone mwisho wa hekaya hii
 
Chadema wawashukuru CUF angalau hata wameambualia kuikanyaga Pemba, wanajua kuitumia fursa na nyie CUF mtakapokuja kujua kwamba mnatumiwa na Chadema mtakua mmechelewa, ngoja tuone mwisho wa hekaya hii

Hayakuhusu!!
 
teh teh teh kwani dj mboowe alivyombandua yule mbunge wa kuteuliwa ndio kakubandua na wewe? So hiyo ni kauli yake tu sio sheria!

sisi ccm ni wapuuzi na chama chetu kina nuka rushwa. By kinana. Ova.
 
Nashangaa maana chadema na pemba wapi na wapi? Labda kuvua samaki.

sisi ccm ni wapuuzi na chama chetu kina nuka rushwa. By kinana. Ova.
UKIWA MPUUZI LAZIMA USHANGAE JAMBO DOGO KAMA HILO.
 
Hao watoto wa kike wa kiislam mbona wamewavalisha suruali? Chadema wanataka kuvuruga maadili wa watoto wa Zanzibar?? wafukuzwe haraka sana
 
They look smart. I admire their cloth color which is also favorable national color in 2015. Tutazivaa sana, kama mnajichimbia kaburi anza mapema...no jock in serious political matters like our Katiba. Chezea sehemu nyingine sio katiba!

kyoma wewe umekuwa kati ya watu wachache kuluga akibanja (naamini unanielewa) wanaokubali kuwa wing la mabadiliko ...nimekuwa nikiwaona hapa wengi hawajitambui wako kiccm sana,twende hivyohivyo mwisho tutawasaidia na wao wajitambue
 
znz ni sehemu ya watu wanaojali maslahi ya nchi yao sana kuliko uccm wape hongera zao mh salim mwalim
 
Back
Top Bottom