Viongozi CHADEMA wanasurika kutekwa Mkoani Dododoma

Candid Scope

JF-Expert Member
Nov 8, 2010
11,890
6,898
chadema.jpg

VIONGOZI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) wamenusurika kutekwa baada ya gari lao aina ya Toyota Opa lenye namba za usajili T 850 BLK, kushambuliwa na watu wasiojulikana na kuvunjwa kioo cha nyuma na kitu kizito.


Tukio hilo lilitokea Oktoba 9, mwaka huu majira ya saa nne usiku wakati viongozi hao wakitoka katika mkutano wa uzinduzi wa kampeni za uchaguzi mdogo wa madiwani katika Kata ya Mpwapwa Mjini.


Shambulizi dhidi ya viongozi hao waliokuwa katika gari hilo mali ya Eva Mpagama ambaye ni Mratibu wa Vijana CHADEMA Mkoa wa Dodoma, lilifanyika katika eneo la Mwanakianga, nje kidogo ya mji wa Mpwapwa.


Walioshambuliwa ni Mkurugenzi wa Oganaizesheni na Mafunzo CHADEMA Taifa, Benson Kigaila, Mratibu wa Vijana Mkoa wa Dodoma, Mpagama na Kunti Yusufu ambaye ni mratibu wa akina mama CHADEMA mkoa.


Tukio hilo liliripotiwa Oktoba 10 katika kituo cha polisi cha Wilaya ya Mpwapwa, na kufunguliwa jalada namba RB/1934/2012.

Tanzania Daima
 
chadema.jpg

VIONGOZI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) wamenusurika kutekwa baada ya gari lao aina ya Toyota Opa lenye namba za usajili T 850 BLK, kushambuliwa na watu wasiojulikana na kuvunjwa kioo cha nyuma na kitu kizito.


Tukio hilo lilitokea Oktoba 9, mwaka huu majira ya saa nne usiku wakati viongozi hao wakitoka katika mkutano wa uzinduzi wa kampeni za uchaguzi mdogo wa madiwani katika Kata ya Mpwapwa Mjini.


Shambulizi dhidi ya viongozi hao waliokuwa katika gari hilo mali ya Eva Mpagama ambaye ni Mratibu wa Vijana CHADEMA Mkoa wa Dodoma, lilifanyika katika eneo la Mwanakianga, nje kidogo ya mji wa Mpwapwa.


Walioshambuliwa ni Mkurugenzi wa Oganaizesheni na Mafunzo CHADEMA Taifa, Benson Kigaila, Mratibu wa Vijana Mkoa wa Dodoma, Mpagama na Kunti Yusufu ambaye ni mratibu wa akina mama CHADEMA mkoa.


Tukio hilo liliripotiwa Oktoba 10 katika kituo cha polisi cha Wilaya ya Mpwapwa, na kufunguliwa jalada namba RB/1934/2012.

Tanzania Daima

Asante kwa taarifa mkuu lakini mbona picha na habari havirandani?
 

VIONGOZI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) wamenusurika kutekwa baada ya gari lao aina ya Toyota Opa lenye namba za usajili T 850 BLK, kushambuliwa na watu wasiojulikana na kuvunjwa kioo cha nyuma na
kitu kizito.

Tukio hilo lilitokea Oktoba 9, mwaka huu majira ya saa nne usiku wakati viongozi hao wakitoka katika mkutano wa uzinduzi wa kampeni za uchaguzi mdogo wa madiwani katika Kata ya Mpwapwa Mjini.

Shambulizi dhidi ya viongozi hao waliokuwa katika gari hilo mali ya Eva Mpagama ambaye ni Mratibu wa Vijana CHADEMA Mkoa wa Dodoma, lilifanyika katika eneo la Mwanakianga, nje kidogo ya mji wa Mpwapwa.


Walioshambuliwa ni Mkurugenzi wa Oganaizesheni na Mafunzo CHADEMA Taifa, Benson Kigaila, Mratibu wa Vijana Mkoa wa Dodoma, Mpagama na Kunti Yusufu ambaye ni mratibu wa akina mama CHADEMA mkoa.


Tukio hilo liliripotiwa Oktoba 10 katika kituo cha polisi cha Wilaya ya Mpwapwa, na kufunguliwa jalada namba RB/1934/2012.

Tanzania Daima

Hapo kwenye REd :spy::spy:
 
Asante kwa taarifa mkuu lakini mbona picha na habari havirandani?

Pole, mambo mengingine ya taswira tunaweka ili upate nafasi ya kutafakari matukio yanayotokea, kwa vyo vyote mleta mada hawezi kuweka kitu ambacho hakina kiashiria fulani na matukio yanayojilia. Kwenye picha wapo viogozi wa Serikali ambao ni kutoka CCM na viongozi wa Chadema.

Kwenye picha wapo Kikwete, Mbowe, Slaa, Emmanuel nchimbi, Wasira na wengine, jaribu kutafakari kidogo.
 
chadema.jpg

VIONGOZI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) wamenusurika kutekwa baada ya gari lao aina ya Toyota Opa lenye namba za usajili T 850 BLK, kushambuliwa na watu wasiojulikana na kuvunjwa kioo cha nyuma na kitu kizito.


Tukio hilo lilitokea Oktoba 9, mwaka huu majira ya saa nne usiku wakati viongozi hao wakitoka katika mkutano wa uzinduzi wa kampeni za uchaguzi mdogo wa madiwani katika Kata ya Mpwapwa Mjini.


Shambulizi dhidi ya viongozi hao waliokuwa katika gari hilo mali ya Eva Mpagama ambaye ni Mratibu wa Vijana CHADEMA Mkoa wa Dodoma, lilifanyika katika eneo la Mwanakianga, nje kidogo ya mji wa Mpwapwa.


Walioshambuliwa ni Mkurugenzi wa Oganaizesheni na Mafunzo CHADEMA Taifa, Benson Kigaila, Mratibu wa Vijana Mkoa wa Dodoma, Mpagama na Kunti Yusufu ambaye ni mratibu wa akina mama CHADEMA mkoa.


Tukio hilo liliripotiwa Oktoba 10 katika kituo cha polisi cha Wilaya ya Mpwapwa, na kufunguliwa jalada namba RB/1934/2012.

Tanzania Daima


Modesty is not necessary where struggle for survival has become necessity. I say we start a fight!
 
Asante kwa taarifa mkuu. Makamanda kuweni makini wanawawinda kama swala. Tumaini Makene mbona hukutuleta habari hii mkuu? Naona ni ya muda kidogo au mimi nimepitwa na wakati sikupita hapa? Tunawaombea mkomboe hii nchi tuachane na uhasama uliopo kwa sasa!! Amani imetoweka, udini, uharibifu ambao haufuatiliwi. Jana watu wameumizwa mbagala na kuchoma makanisa na bado wanasema wanaendelea huku eti tunasema tuna inteligensia!! Wapi na wapi? Kwa CDM intelligensia ndiyo ipo lakin kwa waislam kuandamana na kuleta fujo ni ghafla inteligenzia imepotea. It does not click in my mind.
 
chadema.jpg

VIONGOZI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) wamenusurika kutekwa baada ya gari lao aina ya Toyota Opa lenye namba za usajili T 850 BLK, kushambuliwa na watu wasiojulikana na kuvunjwa kioo cha nyuma na kitu kizito.


Tukio hilo lilitokea Oktoba 9, mwaka huu majira ya saa nne usiku wakati viongozi hao wakitoka katika mkutano wa uzinduzi wa kampeni za uchaguzi mdogo wa madiwani katika Kata ya Mpwapwa Mjini.


Shambulizi dhidi ya viongozi hao waliokuwa katika gari hilo mali ya Eva Mpagama ambaye ni Mratibu wa Vijana CHADEMA Mkoa wa Dodoma, lilifanyika katika eneo la Mwanakianga, nje kidogo ya mji wa Mpwapwa.


Walioshambuliwa ni Mkurugenzi wa Oganaizesheni na Mafunzo CHADEMA Taifa, Benson Kigaila, Mratibu wa Vijana Mkoa wa Dodoma, Mpagama na Kunti Yusufu ambaye ni mratibu wa akina mama CHADEMA mkoa.


Tukio hilo liliripotiwa Oktoba 10 katika kituo cha polisi cha Wilaya ya Mpwapwa, na kufunguliwa jalada namba RB/1934/2012.

Tanzania Daima

I wish Mkuu wa Gombe angekuwa rais. Tungepata watalii wengi sana wa kuitembelea ikulu, Tanzania ingekuwa nchi mashuhuri duniani
 
kama tu hata udiwani, unahofiwa kupotea na watu wanajua mtaji wa chama tawala ni vijijini, kuna haja ya kujitathmini hao
 
Pole, mambo mengingine ya taswira tunaweka ili upate nafasi ya kutafakari matukio yanayotokea, kwa vyo vyote mleta mada hawezi kuweka kitu ambacho hakina kiashiria fulani na matukio yanayojilia. Kwenye picha wapo viogozi wa Serikali ambao ni kutoka CCM na viongozi wa Chadema.

Kwenye picha wapo Kikwete, Mbowe, Slaa, Emmanuel nchimbi, Wasira na wengine, jaribu kutafakari kidogo.
Mkuu Slaa hayupo kwenye picha,halafu pia hujasema ni kivipi walitaka kutekwa zaidi ya kusema tu "kitu kizito kilivunja kioo cha nyuma",wekeni taarifa zilizokamilika,especially wewe mkuu?Hujasema how,kwa mfano kama kioo cha nyuma kilipovunjwa,je waliamriwa kutoka ndani ya gari?Walijuaje/ulijuwaje kwamba walita kutekwa?what went on other than kioo kuvunjwa?duh!
 
Back
Top Bottom