Viongozi bora wa Afrika siku zote

Viongozi bora wa Afrika siku zote

Mgboss

JF-Expert Member
Joined
Jul 7, 2016
Posts
497
Reaction score
279
Hawa ni viongozi bora wa Afrika ninaowakubali hadi leo.

10. Ellen Johnson-Sirleaf.
f5f7233aba6aea43820a5e27d441a8a2.jpg

Rais wa 24 wa Liberia, alizaliwa tarehe 29 October 1938. Rais wa kwanza wa kike barani Afrika, ameiimarisha Liberia baada ya vita vya wenyewe nchini humo, mwaka 2011 alishinda tuzo ya Nobel

9. Samora Machel
046196a8b70fbbeaa850549d3a9f7dc0.jpg

Rais wa kwanza wa Msumbiji, alizaliwa tarehe 29 September 1933 alifariki tarehe 19 October 1986.katika ajari ya ndege.

8. Jomo Kenyatta
09fb2030dcc962bc3223a5989ba7d172.jpg

Rais wa kwanza wa Kenya aliyeisaidia Kenya kupata uhuru, aliweza kuiimarisha Kenya jatika sekta ya uchumi, alizaliwa mwaka 1891 na kufariki mwaka 1978.

7. Thomas Sankara
b82fe642734e349f6a2934662653bcea.jpg

Rais wa Burkinafaso kuanzia 1983 hadi 1987 pia unaweza ukamuita "African Che Guevara", alizaliwa tarehe 21 December 1949 na kufariki tarehe 15 October 1987.

6. Patrice Lumumba
0aeb7aa5296f670c89d5e4cb06d630a6.jpg

Alikuwa waziri mkuu wa Democratic Republic of Congo (DRC) aliisaidia Congo kupata uhuru dhidi ya Wabelgiji, alizaliwa tarehe 2 July 1925 na kufariki tarehe 17 January 1961.

5. J.K Nyerere
3be9b481052d83dfb95f08dbbed7c9c0.jpg

Rais wa kwanza wa TZ, alizaliwa tarehe 13 April 1922 na alifariki tarehe 14 October 1999. Ni Rais aliyesaidia nchi nyingi za Kiafrika kupata uhuru na kuziunganisha nchi mbili kuwa TZ.

4. Haile Selassie
f27012698831052cd3a4ed36292a1403.jpg

Former Emperor of Ethiopia (23 July 1922 -- 27 august 1975) Aliweza kupambana na uvamizi wa Waitalia na kuisaidia Ethiopia isitawaliwe na wakoloni, alisaidia kuundwa kwa OAU na kuifanya Ethiopia kuwa charter member wa UN.

3. Alpha Oumar Konaré
f2c9902a0401f8e832d0046c451320df.jpg

Rais wa tatu wa Mali kuanzia 1992 hadi 2002, aliweza kuukuza uchumi wa Mali na kuimarisha demokrasia pia alikuwa mwenyekiti wa OAY kuanzia 2003 hadi 2008, alizaliwa tarehe 2 February 1946.

2. Kwame Nkrumah
a997916c30f7947b93c047fcc7a2f1bd.jpg

Former President of Ghana (18 September 1909 -- 27 April 1972) ni muasisi wa OAU na AU na msemaji wa Pan-Africanism.

1. Nelson Mandela
a3155241f9751f8460e36e4e900dc4a6.jpg

Alizaliwa tarehe 18 July 1918 na kufariki tarehe 5 December 2013, Rais wa kwanza wa South Afrika aliyesaidia SA kupata uhuru kamili dhidi ya Wadachi na alipinga vikali ubaguzi wa rangi, alishinda tuzo ya Nobel.

[emoji442] [emoji443] [emoji443] [emoji444] [emoji444] [emoji445] [emoji446] [emoji447] [emoji448] [emoji448] AFRICA UNITE[emoji444] [emoji444] [emoji444] [emoji445] [emoji445] [emoji446] [emoji447] [emoji448] [emoji449] [emoji450] [emoji441]
 
Mkuu kuna vitu siku ungi mkono
1. Mama Ellen Jonson sijajua kwa nini awepo kundi la watu kama kina nyerere. Pia huyo kiongozi wa Mali nna mashaka.
2. Namuheshim Mandela ila ki ungozi hawezi kumzidi Nkrumah au Nyerere, au Lumumba
3. Sir Gadaffi ilipaswa awepo kwenye List.

Anyway list nzuri, watu hao walikuwa ni vingozi wazuri wenye mapungufu makubwa na walifanya makosa mengi tu, ila walikuwa wazalendo na kila walilo lifanya ilikuwa ni kwa nia safi ya maendeleo ya watu weusi wanao waongoza.
 
Ellen johnson huyu huyu aliyempa mtoto wake cheo cha ubosi mkuu wa fedha wa nchi yake.Hapo kwa nkurumah toa weka nyerere.
 
Acheni izoh apo namba moja nyerere uyoh Mandela kaifanyia nn Africa.... Zaid ya south Africa
 
jamani Nyerere msimchukulie poa[emoji24][emoji24][emoji24]
aliwaficha viongozi wengi wapigania uhuru hapa, alikua msaada pia

huwezi muweka hio namba kwakweli!!!!!

apewe heshima!!!!!
 
1: ........!!!????!!!
2: Sani Abacha - Nigeria
3: Marcias Nguema - Equatorial Guinea
4: Idd Amin Dadaa - Uganda
5: Samuel Doe - Liberia
6: Mobutu Seseseko - Zaire
7: Jean Bedel Bokassa - CAR
8: John Voster - South Africa
9: Robert Mugabe - Zimbabwe
10: Mathieu Kerekou - Benin

The worst African leaders ever; namba moja nimewaachia mjaze wenyewe!!
 
1: ........!!!????!!!
2: Sani Abacha - Nigeria
3: Marcias Nguema - Equatorial Guinea
4: Idd Amin Dadaa - Uganda
5: Samuel Doe - Liberia
6: Mobutu Seseseko - Zaire
7: Jean Bedel Bokassa - CAR
8: John Voster - South Africa
9: Robert Mugabe - Zimbabwe
10: Mathieu Kerekou - Benin

The worst African leaders ever; namba moja nimewaachia mjaze wenyewe!!
JPM
 
Ukiweka orodha ya Viongozi bora Africa bila ya Kumtaja Mstahiki Dr. Fundi, Basketballer Mwanamtandao, Amiri Jeshi Mstaafu Dr. Prof Jakaya Mrisho Kikwete ni Uhayawani wa Kiwango cha Lami!
 
Sijui kwanini umemuweka Mandela namba moja!?
ulikuwa na criteria za kufuata au umepanga tu randomly?
Hapo na mimi sielewi kwanini kamweka maana binafsi naamini MANDELA alipofungwa akatoka hakuwa yule mandela tena mpigania watu wake, pia he did nothing to Africa in General zaidi alikuwa rafiki wa makaburu alipotoka ndio maana wanampa promo hakuwa kipingamizi kwao
 
1: ........!!!????!!!
2: Sani Abacha - Nigeria
3: Marcias Nguema - Equatorial Guinea
4: Idd Amin Dadaa - Uganda
5: Samuel Doe - Liberia
6: Mobutu Seseseko - Zaire
7: Jean Bedel Bokassa - CAR
8: John Voster - South Africa
9: Robert Mugabe - Zimbabwe
10: Mathieu Kerekou - Benin

The worst African leaders ever; namba moja nimewaachia mjaze wenyewe!!
Uyu atakuwa anatawala bado
 
Hapo na mimi sielewi kwanini kamweka maana binafsi naamini MANDELA alipofungwa akatoka hakuwa yule mandela tena mpigania watu wake, pia he did nothing to Africa in General zaidi alikuwa rafiki wa makaburu alipotoka ndio maana wanampa promo hakuwa kipingamizi kwao
Kweli mkuu.. Mandela anakuwa overrated sana
 
Back
Top Bottom