Hakika sasa inazidi kuwa wazi kuwa polisi wa Tanzania wanatia aibu.
Aibu iliyofichuliwa na gazeti la Nipashe leo, utagundua kuwa kumbe tatizo ni kubwa zaidi. Hawaishii tu kuvuruga mikutano ya kisiasa na kuua raia. Lakini pia ni sehemu ya mtandao wa uhalifu na uharamia.
Hao waliokamatwa huko Bandarini wakiiba shaba ya Zambia, kwa mujibu wa Nipashe la leo, ni aibu kubwa ndani na nje ya Nchi. Hii imekaa vema kwa sababu hata Waziri husika wa Uchukuzi, Mwakyembe, ameshuhudia.
Kumbe tatizo ni kubwa zaidi. Dawa ni kubadili mfumo mzima, kuanzia ajira, mafunzo, uteuzi, utendaji kazi na kuwa na chombo huru cha kusimamia Polisi.
Aibu iliyofichuliwa na gazeti la Nipashe leo, utagundua kuwa kumbe tatizo ni kubwa zaidi. Hawaishii tu kuvuruga mikutano ya kisiasa na kuua raia. Lakini pia ni sehemu ya mtandao wa uhalifu na uharamia.
Hao waliokamatwa huko Bandarini wakiiba shaba ya Zambia, kwa mujibu wa Nipashe la leo, ni aibu kubwa ndani na nje ya Nchi. Hii imekaa vema kwa sababu hata Waziri husika wa Uchukuzi, Mwakyembe, ameshuhudia.
Kumbe tatizo ni kubwa zaidi. Dawa ni kubadili mfumo mzima, kuanzia ajira, mafunzo, uteuzi, utendaji kazi na kuwa na chombo huru cha kusimamia Polisi.