Vioja Katika Daladala!

Bazazi

JF-Expert Member
Aug 18, 2008
2,806
3,476
Kwa wale wenye magari na kwa kawaida hampandi Daladala;
Hivi ndivyo viroja tunavyopata kwenye Daladala wenzenu tusio na magari




Mlokole: "Nyimbo gani mnapiga?!? Wekeni nyimbo za Yesu.."
Konda: "Vipi wewe, Yesu bado hajatoa album..."
********************************
Abiria: "Kuna Kiti au unasema panda tu!?"
Konda: "hao wengine wamekalia ndoo?! "
*******************************
Abiria: "Embu punguzeni sauti ya redio..."
Konda: "Sheria za nchi tu zinatushinda, tusikilize na zako!? hebu tupunguzie misheria"
*******************************

Mmama: "Bwana ondoa gari joto sana!!"
Konda: "Usituzingue wewe, shuka upande fridge...."
******************************
Konda: "Anti, kuna siti pale nyuma, ingia...."
Anti: "Siwezi kaa siti za nyuma..."
Konda: "Kwenda zako wewe, Kwani za nyuma ziko nje ya gari?!"
********************************
Sister duu: "Konda unanibana bwana..."
Konda: "mbona nguo ulizovaa huzisemi, kama ulitaka kujiachia ungekodi treni peke yako!!!"
*******************************
Sharobaro: "Kuna kiti?! Kama hamna sipandi..."
Konda: "Kama unaogopa kukosa kiti si ungebeba chako!!?"
 
Konda: Naomba nauli..
Abiria: Kwani hujapewa NYUMA??

Konda: we shoga nini, nani kakwambia anataka 0714 yako hapa...
 
Daladala zina kero ila wakati mwingine zinafurahisha sana maana utasikia maneno ambayo maishani hujawahi kuyasikia na hutoyasikia tena
 
Kwa
wale wenye magari na kwa kawaida hampandi
Daladala;
Hivi ndivyo viroja tunavyopata kwenye
Daladala wenzenu tusio na magari




Mlokole: "Nyimbo gani mnapiga?!? Wekeni
nyimbo
za Yesu.."
Konda: "Vipi wewe,
Yesu bado hajatoa album..."
********************************
Abiria: "Kuna Kiti au unasema panda tu!?"
Konda: "hao wengine wamekalia ndoo?! "
*******************************
Abiria: "Embu punguzeni sauti ya redio..."
Konda: "Sheria za nchi tu zinatushinda, tusikilize na
zako!? hebu tupunguzie misheria"
*******************************

Mmama: "Bwana ondoa gari joto sana!!"
Konda: "Usituzingue wewe, shuka upande
fridge...."
******************************
Konda: "Anti, kuna siti pale
nyuma, ingia...."
Anti: "Siwezi kaa siti za nyuma..."
Konda: "Kwenda zako wewe, Kwani za nyuma ziko nje ya gari?!"
********************************
Sister duu: "Konda unanibana bwana..."
Konda: "mbona nguo ulizovaa huzisemi, kama
ulitaka kujiachia ungekodi treni
peke yako!!!"
*******************************
Sharobaro: "Kuna kiti?! Kama hamna
sipandi..."
Konda: "Kama unaogopa kukosa kiti si ungebeba chako!!?"

Epuka kauli zifuatazo uwamo ndani ya daladala, Nitakupa,Atakupa mbele,Hujapewa mbele?,Utapewa nyuma,Nitakupa nikikaa vizuri,Ngoja isimame nikupe,Subiri asimamishe nikupe n.k ongeza nyingine tata.
 
Abiria:konda wa2 wamejaa usipakie wengine.
Konda:gari halijaagi,chupa ya chai ndio inajaa...
 
Back
Top Bottom