zubedayo_mchuzi
JF-Expert Member
- Sep 2, 2011
- 4,873
- 1,221
Mwizi Alibomoa nyumba
akaingia kwenye stoo akaona vinyama
kwenye kibakuli vilivyokauka,
akaonja kimoja akasikia ni
kitamu kina Chumvi! Akafurahi akakaa
chini akala vyote, alipomaliza akaangalia juu ya Mlango akaona pameandikwa 'Chumba cha Kutairia', Jamaa Akazimia!
akaingia kwenye stoo akaona vinyama
kwenye kibakuli vilivyokauka,
akaonja kimoja akasikia ni
kitamu kina Chumvi! Akafurahi akakaa
chini akala vyote, alipomaliza akaangalia juu ya Mlango akaona pameandikwa 'Chumba cha Kutairia', Jamaa Akazimia!