...Vinyama Vina chumvi chumvi....

...Vinyama Vina chumvi chumvi....

zubedayo_mchuzi

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2011
Posts
4,873
Reaction score
1,221
Mwizi Alibomoa nyumba
akaingia kwenye stoo akaona vinyama
kwenye kibakuli vilivyokauka,
akaonja kimoja akasikia ni
kitamu kina Chumvi! Akafurahi akakaa
chini akala vyote, alipomaliza akaangalia juu ya Mlango akaona pameandikwa 'Chumba cha Kutairia', Jamaa Akazimia!
 
Mwizi Alibomoa nyumba
akaingia kwenye stoo akaona vinyama
kwenye kibakuli vilivyokauka,
akaonja kimoja akasikia ni
kitamu kina Chumvi! Akafurahi akakaa
chini akala vyote, alipomaliza akaangalia juu ya Mlango akaona pameandikwa 'Chumba cha Kutairia', Jamaa Akazimia!

Sio Jukwaa lake hapa.
 
"kutairia" ndio kufanyaje??? sijaona sababu ya mtu kuzimia hapo...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom