Bongotunacheza
JF-Expert Member
- Dec 7, 2018
- 1,773
- 3,878
Leo nilikuwa kwenye bar moja mitaa ya Savei akapita mtu anauza vinyago vya sokwe unavaa unakuwa kama sokwe kwa ajili ya content.
Anaviuza laki moja.. Anasema wateja wake wengi ni content creators. Anasema kundi kubwa la wateja wake ni watu ambao wanataka kuendana na trendy ya content creators ambao wanavaa vinyago vya sokwe au wanatumia IA kutengeneza vinyago vya sokwe na kundi la pili ni la wale wanao taka kufanya content lakini hawataki kuwa maarufu.
Anaviuza laki moja.. Anasema wateja wake wengi ni content creators. Anasema kundi kubwa la wateja wake ni watu ambao wanataka kuendana na trendy ya content creators ambao wanavaa vinyago vya sokwe au wanatumia IA kutengeneza vinyago vya sokwe na kundi la pili ni la wale wanao taka kufanya content lakini hawataki kuwa maarufu.