Ving'amuzi vya StarTimes ni takataka

Ving'amuzi vya StarTimes ni takataka

Mkuu umenena ila inategemea mazingi DSTV sio wengi wenye kuimudu humu
ila Dishi la free chanel kwenye nyumba yako mkuu kwenye nyumba ya kupanga kule uswazi ni ngumu kidogo tunaomba makampuni mengine iwe rahisi itume antena za ndani tu lakini kinyume hapo mambo yaleyale tu.

DSTV wana package tofauti tofauti (ya chini kabisa ni ya kawaida kabisa haivuki wekundu wawili, tatizo lao local channel ndio chache unapata TBC tu). Pia ni kweli kwamba dish mpaka uwe kwako au uwe umepanga nyumba nzima though dish moja kuna namna ya kufanya mkatumia watu zaidi ya mmoja.

Kwenye blue hapo nilichojifunza kwamba ile mikoa ambayo ilikuwa imetengwa na huduma ya matangazo ya analojia wamekuwa wabunifu kweli na wamejikuta wapo digitali automatic maana matumizi ya madish na cable operator imekuwa ni utaratibu wa kila siku kwani free transmission ya kuweka antena walikuwa hawana signal but through satelite wameweza ku-access signal through dish. Wenye mtaji ni uwanja mzuri wa kutumia fursa hii kuanzisha kutoa huduma ya cable hata kama utaanza na wateja 30 (mkoa kama Mwanza unaongoza kwa huduma hii na wananchi wamekuwa waki-enyoy kwa chanel zaidi ya 80 ikifuatiwa na mikoa kama Mara, Bukoba na arusha baadhi ya maeneo)
 
siwapend star time na ni wez wakubwa bora waseme n maeneo gan havshk,nmenunua antena ya nje bila bila sasa karibia mwezi,nkzungusha antena wapi
 
Mimi siku hizi nimeachana na mambo ya TV ni kuangalia Movie kwa kwenda mbele!

Ina maana hujui tofauti kati ya movie na television ? Unahitaji kujua matukio halisi yanatokea sasa sio kila saa kuangalia maisha ya kubuni.
 
Bora mimi ninayeendelea kutumia dish sijui kabisa adha ya ving'amuzi!
Hakuna dish lisilohitaji king'amuzi (kisimbuzi), labda kama hauelewi decoder ni kitu gani
 
Wengi wanalalamika , lakini sijui wanatumia antenna za ndani au za nje, mm nafikiri wanaolalamika ni wale wanaotumia antena za ndani tu,
plse ambaye anatumia antenna zao za nje na bado hapati signal atujulishe ili tusiende kununua hivyo ving'amuzi kabisa,
 
yaani picha ni full kukwama. Najuta kununua.

Ungetakiwa ufanye utafiti kabla ya kununua.Hao jamaa full uzushi coz sehemu kibao hakuna signal.Ila bado hujachelewa bado kuna makampuni mengine yanarusha kwa setlite na mambo ni bwerere!chezea mchina ww!
 
hakuna cha star tyms,ting,cjui zuku...wezi 2,tena kuna channel hakuna!nyingine zinatolewa bila taarifa!Only Dish with free channels,no usumbufu!hata gharama yake ni ndogo kulifunga kwa wenye uwezo mdogo...
 
Je huko zanzibar na nyie mmejengewa mnara maana hii ni kama simu mnara kama uko mbali mawasiliano ni tete. Ila sijui mazingira huko zenje. Mbona kuna mtu anada huko kuna king'amuzi full machenal tv station zote bongo zimo na iko crea ni kweli hii.
Coconut ,ndugu zao cloud fm tena baadhi ya maeneo ,pia zanzibar cable, nao pia watu wa kujimegea maeneo ya kutoa huduma .
Ukienda kwa wakala wa startimes hapa zenji wanasema mnara unawekwa utakuwa tayari jan 30,kinachonisumbua ni kwamba huko darul lsalaam tayari mna mnara na dhahama ndio kama hiyo, vp sisi ma cousin wenu itakuwaje!
 
Mbona mi nina startimes decoder na inashika crystal clear?. Mnaohangaika kuipata fuateni ushauri wa kitaalamu mnaopewa.
 
Jaman chanel gani ktk startimes inaonyesha mpira wa mashindano ya afrika nchini southafrica
 
Wengi wanalalamika , lakini sijui wanatumia antenna za ndani au za nje, mm nafikiri wanaolalamika ni wale wanaotumia antena za ndani tu,
plse ambaye anatumia antenna zao za nje na bado hapati signal atujulishe ili tusiende kununua hivyo ving'amuzi kabisa,

mimi hapa
 
Nilisema kuwa hawa jamaa ni hovyo. Toka lini China akatengeneza kitu cha maana duniani! Hovyo kabisa. Tutaponea wapi Mungu wangu!!!!!

Mkuu tatizo ni viongozi wetu wamelala hawajali ubora. Ulaya vitu vya China ndo vimejaa lakini vyenye ubora wa hali ya juu. Nilinunua Sony digital Camera Ulaya ikiwa imetengenezwa China mahususi kwa soko la Ulaya na Marekani tu. Ndo hapo sasa ujiulize.
 
hakuna cha star tyms,ting,cjui zuku...wezi 2,tena kuna channel hakuna!nyingine zinatolewa bila taarifa!Only Dish with free channels,no usumbufu!hata gharama yake ni ndogo kulifunga kwa wenye uwezo mdogo...

Yeah, mimi na familia yangu tumeanza na hilo la free channels na tunadunda tu vizuri. Baadae hili suala la ving'amuzi litakapokuwa limengemaa tutaamua tuchukuwe cha kampuni gani.
 
You can say that again. Nadhani watu hawa wengine wanakuwa too flattered kupewa uwaziri,hawafuatilii corruption yoyote inapotokea.
 
nunua antena ya kawaida uunganishe utapata chanel kadhaa. mimi natumia antena ya kawaida baada ya ile yao kunipa shida ya kugeuza geuza kuelekea kisarawe.
 
Back
Top Bottom