Dstv kifurushi kikiisha unapata local channel moja tu ya TBC sasa ya nini hii wakati Azam bila kifurushi chochote unapata local Channels zote 5 bure.
Binafsi mara ya mwisho kuyaskia yakijipromo ilikua 2015 huko nadhani..Hayo makampuni matatu ya chini sikuwahi jua kama yapo hai...
Gharama babu, wengi tunanunua offer ikiisha tunarudi Azam na startimes. Washanipigia simu mpaka basiDStv kuna kipindi walifika 400k
Why wameshuka?..
Nahisi hizi data zina errors..
Digitek na zuku karibu sawa? Digitek bado ipo? Kweli?
DSTV inatumiwa na wengi wenye uwezo that's why namba ni wachacheBei ya vifurushi vyao ni kubwa then vipindi vyao vimepooza sana
Startimes na Azam wanajitahid sana
😂😂😂😂😂😂Majina ya juma uwaga wajinga wajinga sana
Andika kiswahili mkuumna kakingamuz kanguka Startime nmekitupa ndan kama miaka mitatucha antena jmos nmekiwasaapa naangalia chanel za bure zote local apa ndpo mchna alipo wapga knadstv