nitonye
JF-Expert Member
- Dec 18, 2011
- 7,273
- 3,750
mwali ndo huniacha hoi
sijui ni mlinzi wa seva ya jf
saa 9 usiku, yuko active sana.
Wewe mbona usiku wa manane unaonekanaga unalandalanda
mwali ndo huniacha hoi
sijui ni mlinzi wa seva ya jf
saa 9 usiku, yuko active sana.
Hajui leo weekend??Mi mzima SL, Erick nipo nae hapa, kama una ujumbe nipe nimfikishie...
Btw umeona michezo alokuwa anacheza nitty utotoni?! Lol
Ni aghalabu kuwakosa hawa jf, nitonye, sweetlady, bagah, nyani ngabu, ashadii, firstlady, boflo, cantalisia, bishanga, walinazi(huyu kaja juzi juzi tu hapa jf lakini yumo), youngmaster, na........,
Nimeona dia...nimeishiwa nguvu kabisa! Erick mpe tu swalamu za upendo wa dhati...Mi mzima SL, Erick nipo nae hapa, kama una ujumbe nipe nimfikishie...
Btw umeona michezo alokuwa anacheza nitty utotoni?! Lol
We dogo umeanza ee
Amyner,
nimekumis asee...heb nisalimie wenye wivu waumie!
Hutajwi?..Yupo......
Nimeona dia...nimeishiwa nguvu kabisa! Erick mpe tu swalamu za upendo wa dhati...
Erick anajua kuwa jana ulikuwa bar na BAGAH?Mambo b.. Miss u too jamani.. Jana wakati naondoka uliniambia kitu halafu sikusikia. Ile bar yenu ina kelele. What were u saying...?
Nimezipokea SweetLady...mambo
Hajui leo weekend??
Miss u Amy
wengine ni kongosho, deejay nasmile, lizzy na mwita25 siku hizi sijui yuko wapi?
Unajua dogo una utani mbaya sana...kwanza lazma nifanye kitu upigwe bankaka habari yako bana!..namsalim tu shemeji yangu bana...asa uko arusha mm niko dar acha nimtunze shemeji bana!damu isiende mbali!
Erick anajua kuwa jana ulikuwa bar na BAGAH?
Itabidi ni resign niwe housewife dear.. Maana tulikuwa wote just seconds ago, ushanimiss tayari..
Itabidi ni resign niwe housewife dear.. Maana tulikuwa wote just seconds ago, ushanimiss tayari..
Na yeye erick alikuwepo, pia mumeo na "dada" yake (according to nitonye).
Habari yako Amyner b52 aliweza kurudi jana?