...Wanawategua magoti kwa nini wasilambishwe 8 na siku ile ilitakiwa wagongwe 10 ni vile Man Utd nao walikuwa na kiherehere.....Mnaringia vimwana?Kwa staili hii kaka zao kila siku watakuwa wanakula nane.
punguza jazba kijana.Mi nashangaa mtoa mada kaja na mada yake mijitu inaichakachua kwa habari za kufungwa kwa Arsenal!
Wewe arsenal ikishinda au ukifungwa kumi unafaidika vp? Matatizo uliyo nayo yanaisha au?
Wewe utakuwa arsenane tu...........Mi nashangaa mtoa mada kaja na mada yake mijitu inaichakachua kwa habari za kufungwa kwa Arsenal!
Wewe arsenal ikishinda au ukifungwa kumi unafaidika vp? Matatizo uliyo nayo yanaisha au?