Vimwana Miss Dar Ciry Centre 2011

aiseeee huu ndio msimu wa wanaojua kuhonga kufaidi uumbaji na yaliyomo kwenye huo uumbaji
 
DADA, naweza kumpata mmoja hapo...................................
nataka funga nae ndo jaman!!!!




naomba uni- PM, Please.....................:A S 465::A S 465::A S 465:
 
ivi hii ni kumsaidia mwanamke au kumdharilisha? Hapa sioni mantiki ya kuwa eti mtu hakusaidii mpaka ukae uchi. kweli tunakoelekea bila kutungwa sheria za kuondoa mambo yote ya kipumbavu pumbavu kama haya sijui itakuwaje.
 
aaaaahaaaaaaaaaaa wakawaida sana tu hata bdemu wangu hamfikiii kwa uumgajiiiiiiiiiii
 
Wapo Hotel gani?

cha muhimu ni kujua hoteli na MAtron wao, mengine yote utazidishiwa
 
kuna wengine nimebaki nacheka tu............miguu ileachana utadhani mkasi
 
kuna wengine nimebaki nacheka tu............miguu ileachana utadhani mkasi

mimi hivi vimbaumbau hata sigeuka-gi kuangalia, nataka bantu figure bana ndo yenyewe. huku endeleeni huko wenzangu, nawaachia.. tuleteeni miss bantu hapo mtatushika...teh!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…