Vimbwanga vya Vodacom#Promo#

Vimbwanga vya Vodacom#Promo#

Adharusi

JF-Expert Member
Joined
Jan 22, 2012
Posts
14,493
Reaction score
7,417
Hamisha 1,914,690pts zako zote:
Wema Sepetu na Diamond Platnumz kudaiwa kurudiana! KWELI au SIO KWELI?
1.Penniel Mungilwa
2.Aunt Ezekiel
Tuma 1au2 kwenda 15544!
 
Nijibu nini hili nishinde bodaboda
 
...hivi VodaCom wamekosa maswali ya kuuliza yenye tija kwa wateja wake?
 
...hivi VodaCom wamekosa maswali ya kuuliza yenye tija kwa wateja wake?
There is a company hired to perform such a task either push mobile or else! Not everything is done by vodacom themselves
 
Hii ndio inanifanya niamin kuwa watu masikini wa fikra wenye mawazo yatima wanaamini katika kupata utajiri au vitu vya haraka haraka... Kumbe hata humu JF wamo!? Endeleen kuyatajirisha makampuni ya simu! Afu mtaniambia mmepata bodaboda ngapi! Swaiiiin!
 
Sishauri mtu yeyote makini kujihusisha na hizi promo za makampuni ya simu, ni kujithibitisha kwa wewe ni mjinga.

Unatumiwa sms kwamba namba yako imeshinda badala ya kuambiwa zawadi yako unaanza msululu wa utapeli ujibu maswali huku unakatwa pesa huku ukipumbazwa kama zuzu kwamba unakaribia kushinda!
 
There is a company hired to perform such a task either push mobile or else! Not everything is done by vodacom themselves[/QUOTE Jumapili jana Vodacom ilitoa Sh.5,000,000 kwa mshiriki 1! Endelea kujibu na hamisha pointi zako 302,340! Unaweza kuwa mshindi wa wiki hii Sh.5,000,000!

== =
 
Hamisha 302,340pts zako zote:
Mama wa Mwandishi wa ITV (Mama Ufoo Saro) alipigwa risasi ngapi na kupoteza maisha?
1.Tano
2.Moja
Tuma 1au2 kwenda 15544!
 
WIKI MPYA! NAFASI MPYA!
Jina lako linaweza kuwa kati ya washindi! Jibu swali linalofuata UPATE pointi 600 ZAIDI! SHINDA Pikipiki 30 na Sh. 17,000,000 WIKI HII!
 
Shinda 600pointi zaidi:
Salama Jabir ni muongozaji wa kipindi cha Mkasi! NDIYO au HAPANA?
1.NDIYO
2.HAPANA
Tuma 1au2 kwenda 15544!
 
Ndio! Umeanzisha pointi zako zote 302,940!
NYONGEZA! Majibu sahihi 20 yajayo utapata pointi 500 badala ya 50! Shinda PIKIPIKI 5 + Sh.2,000,000 leo usiku!
 
Shinda 300 pointi zaidi:
Nchi gani iliyotoa vibali vya kukamatwa wachezaji wake 3 waliokosa mechi dhidi ya Brazil?
1.Togo
2.Zambia
Tuma 1au2 kwenda 15544!
 
Hayo maswali mbona huwa hawayatumi kwangu? wamengiona cha moto.
 
Hamisha 1,914,690pts zako zote:
Wema Sepetu na Diamond Platnumz kudaiwa kurudiana! KWELI au SIO KWELI?
1.Penniel Mungilwa
2.Aunt Ezekiel
Tuma 1au2 kwenda 15544!

wamegeuka kuwa wapigaji sasa hivi,matapeli wa mchana kweupe
 
WIKI MPYA! NAFASI MPYA!
Jina lako linaweza kuwa kati ya washindi! Jibu swali linalofuata UPATE pointi 600 ZAIDI! SHINDA Pikipiki 30 na Sh. 17,000,000 WIKI HII!


Pikipiki 30! + 17m. ! Useless,we c wakala endeleeni kuwadanganya na kuwaibia wajinga!
 
Hizo sms zao zikinifikia huwa uamuzi ni mmoja tu wa kuzifuta kabla ya hata kusoma.
Sishauri mtu yeyote makini kujihusisha na hizi promo za makampuni ya simu, ni kujithibitisha kwa wewe ni mjinga.

Unatumiwa sms kwamba namba yako imeshinda badala ya kuambiwa zawadi yako unaanza msululu wa utapeli ujibu maswali huku unakatwa pesa huku ukipumbazwa kama zuzu kwamba unakaribia kushinda!
 
Back
Top Bottom