Vimbwanga: Shuhudia mganga aliyevamia uwanjani mechi ya Simba

giphy.gif


Sent from my Infinix X627 using JamiiForums mobile app
 
Naona Pira Nyau Huna cha kusema, hakuna aliesema Simba haijashinda soma uzi vizuri, Soma na uelewe ushindi wa Nyau ni wao kabisa kihalali kwa sasa tunazungumzia yule mganga na Paka lile shume nyau jesuzi zito sura ka linapuliza moto miondoko ya minyato!
Yaani utopolo akili zenu zinafanana ndo maana mliitwa manyani na yule jamaa hivyo vitu vya kawaida vinafanyika sehemu zote duniani hata sisi tulipoenda kwa plateau tulifanyiwa mauza uza zaidi ya hayo jamaa walikuwa wanamwaga unga uwanjani mpaka kwa watangazaji wa Tanzania

Pambana na hali yako.
 
Paka weusi mbona wapo kibao na nyie Utopolo pelekeni Unguja ingalao mkaambulie kombe la Mapinduzi
 
mkuu kwa uelewaa wako una mashaka na yule shabiki aliyeingia uwanjani kama mganga ?
Hawezi jibu maana huyo alikuwa yy mwnyw Sangoma ktk ubora wake, salute kubwaaa bro unatisha.
 
Yule ni mganga wa uto na ni kawaida yao.
Kuna mechi aliingia uwanjani utopolo wakaanza kusawazisha magoli kwa njia za utata.

Sasa juzi walimtuma awasaidie platinum ila aligonga mwamba
 
Yule paka mlimleta ili kuchafua brand ya Simba ila hamtaweza.Tumewastukia.

Naona Pira Nyau Huna cha kusema, hakuna aliesema Simba haijashinda soma uzi vizuri, Soma na uelewe ushindi wa Nyau ni wao kabisa kihalali kwa sasa tunazungumzia yule mganga na Paka lile shume nyau jesuzi zito sura ka linapuliza moto miondoko ya minyato!
 
Vimbwanga vya Utopolo jana nusu fainali na Azam. Kitenge aje asemee na hili
 
Back
Top Bottom