Huenda ni kawa sawa ama la ila tutashea idea pamoja hawa ni viumbe wawili tofauti ebu ona sifa hizi
VIMBAUMBAU
(a)Ni wakorofi hatari
(b)Wana fitina kama ngedere
(c)Wasafi kupindukia
(d) Hawaoni aibu kuzozona na mumuwe
(e)Wepesi kukasirika
(f) Vigumu kulia, macho yanakuwa mekundu ,kanaongea povu kama lote
(g) Hawatongozwi sana so kuchepuka sio rahisi
(h) Wanajua kubana matumizi na ni wacahapa kazi
(i) wengi hawajiamini wanaishi kwa hisia
(J) Havizeeki kirahisi, mtu wa miaka 40 bado binti kabisa
Etc etc………
VIBONGE
(a) Wazembe hatari
(b) Wanajua kubembeleza
(c) Hawana mambo mengi muda wote kucheka tu
(d) Usafi ni changamoto wengi wachafu
(e) Mkikorofishana, ukitoka nje ukaja na ndizi ugomvi unaisha(wanapenda kula)
(f) Kubana matumizi ni changamoto wanajiachia sana
(g) Wanajiamini sana
(H) Wanazeeka haraka
Ongezeni sifa
Tafiti zinasema waliooa vibongo wanaishi maisha marefu Zaidi ya wale waliooa vimbaumbau😀😀😀😀
VIMBAUMBAU
(a)Ni wakorofi hatari
(b)Wana fitina kama ngedere
(c)Wasafi kupindukia
(d) Hawaoni aibu kuzozona na mumuwe
(e)Wepesi kukasirika
(f) Vigumu kulia, macho yanakuwa mekundu ,kanaongea povu kama lote
(g) Hawatongozwi sana so kuchepuka sio rahisi
(h) Wanajua kubana matumizi na ni wacahapa kazi
(i) wengi hawajiamini wanaishi kwa hisia
(J) Havizeeki kirahisi, mtu wa miaka 40 bado binti kabisa
Etc etc………
VIBONGE
(a) Wazembe hatari
(b) Wanajua kubembeleza
(c) Hawana mambo mengi muda wote kucheka tu
(d) Usafi ni changamoto wengi wachafu
(e) Mkikorofishana, ukitoka nje ukaja na ndizi ugomvi unaisha(wanapenda kula)
(f) Kubana matumizi ni changamoto wanajiachia sana
(g) Wanajiamini sana
(H) Wanazeeka haraka
Ongezeni sifa
Tafiti zinasema waliooa vibongo wanaishi maisha marefu Zaidi ya wale waliooa vimbaumbau😀😀😀😀
