Vile mashauzi yalivyoniumbua

Mh hii mpya kwangu Mimi,nakupenda mambo kote ila ya huyu imepitiliza labda alikutania tu,
 
Nilivyo nachukia aibu Mimi jamani..
 
Kipindi niko chuo kuna siku nilienda hostel kumcheki demu flani, ile nakaribia nikaona kundi kubwa la mademu wamekaa wanapiga stori zao hawana habari kati yao kulikua na mtoto mmoja namuelewa kinoma, sasa ile nakaribia kulikua na kidimbwi kidogo mvua ilikua imetoka kunyesha nikaleta pigo za kiblazmen natembea kwa swagga ile naruka kile kidimbwi niliteleza nikapiga bonge la mweleka nikagalagala kwenye yale maji nguo zote zimejaa tope, nilitamani kulia nilishindwa hata kuinuka pale chini wale mademu wengine wakaangua kicheko siwalaumu hata ningekua mimi ningecheka kwa jinsi nilivyoanguaka, wengine wakanipa pole wengine wakaja kunisaidia kuinuka yaani ile siku sitaisahau nilidhalilika sana nikikumbuka huwa najicheka nilivoanguka kama mnazi
 
Juzi nimegoma kulipa nauli ndani ya gari kwa kigezo kuwa nalipa nauli mwisho wa safari...nikazinguana na konda mwisho wa siku kwakuwa gari ni nyingi ikabidi nishuke....ile wakati nashuka nikasikia abiria wananiita ...weweeee,wewe kaka unaitwa na dada huku ndani ya gari..ikabidi niitikie wito kufika pale kwenye gari dada simfahamu ila ananiambia nipande atanilipia au nitamrudishia mbele huko tukifika....

Nikamwambia pesa ninayo ila mimi nakataa kulipa nauli mwanzo wa safari kuepuka manyanyaso ya makondakta...mwamba nikaondoka huku yule dada na wale abiria wakiniangalia kwa huzuni sana...sielewi ni kipi kilijijenga kwenye vichwa vyao....
 
Kwa hiyo hata chakula ulikikataa, au uliomba msaada kwenye tuta!
 
Nakumbuka siku moja naenda kazini daladala za Kibaha kutokea Ubungo- 2010.
Ilikuwa ni vile vi-hice, mdada mmoja alikaa mbele yetu tulimkuta kwenye gari, tukafika Maili moja yule dada ikawa ndo mwisho wake wa safari akanyanyuka kushuka, alikuwa mrefu kiasi ikabidi ainame kidogo ili apite akashuke, aisee sketi zipu ilishuka kidogo na sketi yenyewe alikuwa hajafunga lock yake, tulichikiona ni pant imechoka na shanga nyingi. tulikaa na jamaa mmoja lile tukio lilituhuzunisha sana, hadi tukashika midomo kwa butwaa, cha kushangaza wanawake wenzake walicheka vibaya sana.

Ilinipa fundisho sana, nilipooa, nilihakikisha mke wangu hapati fedheha kama ile, nahakikisha anachokivaa kinakuwa perfect kabla ya kutoka nyumbani, nakifanya hicho toka 2016 mpaka leo na sitaacha, hata nikiwa nimesafiri sipo nyumbani lazima nimkumbushe.
 
[emoji2][emoji1][emoji1][emoji1][emoji28][emoji28]
 
[emoji2][emoji1][emoji28][emoji3][emoji3][emoji3][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Ila
Kwa mlioko Dar, Poleni kwa mgao wa kuanzia maji, umeme mpaka mapenzi, ila ndugu zangu tutafika kwa Baba tuko hoi sana maskiini, imagine duniani tunateseka hivii na bado huko naskia kuna moto tena..! Nyieeeeeeh'..!
Ila Wewe dharau, ujuaji ni kawaida yako so sishangai, kwa hii post.
Huwa una comment dharau sana kwenye post za watu so ni kawaida yako ndio hivyo ulivyo.
 
Ila

Ila Wewe dharau, ujuaji ni kawaida yako so sishangai, kwa hii post.
Huwa una comment dharau sana kwenye post za watu so ni kawaida yako ndio hivyo ulivyo.
Sweetheart,
Pole maskiini..!!
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Hii ya huyu mwenzetu umewahi kukutana nayo wapi ya kunyegeleshwa na pichu😲
Hahahhaaa..
Nimewaza vile imguse mbele za watu aanze kupiga kelele, walaqhi' walaqhi'...!
 
Hahahhaaa..
Nimewaza vile imguse mbele za watu aanze kupiga kelele, walaqhi' walaqhi'...!
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Ila sijui unawazaga nini we mtu, umenifurahisha Sana, hata sipati picha aisee
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Ila sijui unawazaga nini we mtu, umenifurahisha Sana, hata sipati picha aisee
πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚
Nilichotaka niandike hapa dunia ingesimama...! Nitakutumia inbox.!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…