Vile Chuki ya Tanzania kwa Kenya was Institutionalized

Vile Chuki ya Tanzania kwa Kenya was Institutionalized

kwahiyo msukuma ndio sababu ya TZ kuwa maskini wa kutupwa?
Mbona umemzungumzia Musu -K pekee wakati hukuanzia juu?
Hata hivyo,unaijua kazi ya msingi ya huyo Musu -K Bungeni ni nini na wenzie anaofanana nao na umuhimu wa hiyo kazi kwa msitakabali wa Tanganyika?
 
The guy gave an objective observation, no bias, pole for your dissatisfaction and disappointment, unalazimisha eti am obsessed na validation ya foreigners 🤣🤣🤣🤣, a flimsy excuse, pole sana dogo, iko ilivyo, kwa hizi fikra zako haubadilishi lolote.,
Yule Brian Odira yuko wapi siku hizi?
 
Wakenya wako very obsessives na Tanzania, wakati watanzania hawashuhuliki kabisa na wakenya. Hiyo ndio hali ya love story yetu.
Watanzania hawashuguliki kabisa na wakenya wakati mnajua hadi majina ya mawaziri wetu, magavana na hata wabunge kadhaa? Will you believe it that an average Kenyan doesn't even know the name of your vice president, me here included?

I bet hata wewe hapa you can name at least ten governors from Kenya by their names. Mimi hapa hata mawari wenu siwajui kwa majina
That should tell you something
 
Nimeweka link tatu, sio Moja. Na hao sio bloggers. Alafu huwa mnataka link kutoka mbinguni ndio mkubali ama huwa mnatakaje? Basi wewe Lete source yako inayosema ukweli.
We will NEVER FORGET. NEVER.

Mla NDIZI husahau ila MTUPA GANDA hawezi kusahau.

20250505_075749.jpg
 
Back
Top Bottom