Wanajukwaa kwanza poleni kwa majukumu mazito ya ujenzi wa Nchi ya viwanda, bila kupoteza muda naomba twende moja kwa moja kwenye mjadala, ni juu ya shuhuda ya vimbwenga na vikumbo vya mirathi, karibuni tupeane machache wenye shuhuda.
Mi nilizilaga vyote nimetafuta vyangu sasa hivi wananiomba niwasaidie zile nyumba za dingi na mashamba na viwanja vyote niliwaachia watifuane mi nikaelekea shule then kazi sasa hivi wananionea aibu
Mi nilizilaga vyote nimetafuta vyangu sasa hivi wananiomba niwasaidie zile nyumba za dingi na mashamba na viwanja vyote niliwaachia watifuane mi nikaelekea shule then kazi sasa hivi wananionea aibu
Ulifanya jambo jema
Sent using Jamii Forumapp
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.