Ambition plus
JF-Expert Member
- Feb 23, 2018
- 6,065
- 11,118
Mkuu mbona unaitukuza sana lugha ya mabepari?Sasa basi hudhuria kikao na utumie Kimakonde chako au Kisukuma ilmradi uje na mkalimani, kukimbia vikao kisa lugha utatengwa.
Ubongo wako umeoshwa!
Sent using Jamii Forums mobile app