MK254
JF-Expert Member
- May 11, 2013
- 31,698
- 48,504
Hivi majuzi kikao kimefanywa na marais wa EAC kujadili Corona, walitumia mfumo wa utaalam wa video, Tanzania ikanuna haikushiriki, leo kikao kimefanywa na mataifa ya SADC kupitia njia hiyo hiyo, bado Tanzania imewanunia na hao pia, ndugu zetu wa kusini hamuoni kama mnajitenga na huo ubabe wenu, enzi hizi za utandawazi hamuwezi kusafiri wenyewe.
Kama tatizo ni lugha ya Kiingereza, mnaweza mkapewa mkalimani awasaidie, muhimu mkahudhuria hivi vikao ili muuze hizo sera za mapaipai na maparachichi kupatikana na corona, pia utaalam wenu wa kufukiza, mtasiklizwa sana, acheni kununa, sijui mbona mna hasira hivi siku hizi?
Hii video hapa rais wa Afrika Kusini akileleza alivyojaribu kuihusisha Tanzania bila kufanikiwa.
Kama tatizo ni lugha ya Kiingereza, mnaweza mkapewa mkalimani awasaidie, muhimu mkahudhuria hivi vikao ili muuze hizo sera za mapaipai na maparachichi kupatikana na corona, pia utaalam wenu wa kufukiza, mtasiklizwa sana, acheni kununa, sijui mbona mna hasira hivi siku hizi?
Hii video hapa rais wa Afrika Kusini akileleza alivyojaribu kuihusisha Tanzania bila kufanikiwa.