Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,622
- 154,970
ubarikiwe mpendwa.Fanyeni maombi, kwa Mungu hakuna linaloshindiakana, namshauri mke wake afunge na kuomba bila kuchoka ataacha tu huu ufirauni.
ubarikiwe mpendwa.Fanyeni maombi, kwa Mungu hakuna linaloshindiakana, namshauri mke wake afunge na kuomba bila kuchoka ataacha tu huu ufirauni.
Hichi ndicho nachohofia zaidi
Hawa wanawake nao watakuwa machizi kweliKazini kwake kamaliza wanawake wote.
mpendwa carotafuteni watu wamuinamishe asikie utamu ataacha.
Mmmmmgh! LOL!!mpendwa caro
umeinamishwa mara ngapi????? tuwasiliane
mkuuMmmmmgh! LOL!!
Mkuu ila nakuomba ifikapo January 2010 uwe umetundika daluga rasmi. Ila sidhani kama CD atakuPM ushamtishamkuu
unakuta mtoto wa kike anatoa ushauri mbofu kama ule unadhani yupo sawa kweli???
labda kazoea na mie sijajiuzulu kama FIDEL. nipo gado nawamega kimyakimya tu
ushauri mzuri nitaufanyia kazi mkuu usihofu.Mkuu ila nakuomba ifikapo January 2010 uwe umetundika daluga rasmi. Ila sidhani kama CD atakuPM ushamtisha
Duh! Ee bana! sijamuelewa huyu jamaa. Mtu ula kilicho karibu yake???? Ebu fafanua bana!!! PleaseMtu ula kilicho karibu yake,sasakosa lake nini?
inaonesha familia hiyo imelaanika kwa kupenda kuchunguliana.Mmmm, hiyo familia kiboko!!!