mrekebishatabia
Member
- Aug 20, 2014
- 10
- 13
Hii topic kuhusu Zitto Kabwe niliweka katika ukurasa wangu wa Instagram nikisema ni mmoja ya vijana wenye ushawishi mkubwa kisiasa nchini na alipelekea vijana wengi kujiunga na Siasa tofauti na hapo mwanzo vijana wengi walikuwa woga.
Nimejifunza mengi kutokana na maoni mbali mbali asilimia kubwa ya maoni vijana wana hasira na Zitto Kabwe. Kama nawe ni mmoja wa wasiomuelewa Zitto, Tuwekane sawa hapa!!! Tatizo la Zitto ni nini? Na nini kifanyike? Pamoja na kumuona Zitto Kabwe ni kijana shupavu, sauti yake inaleta matumaini kwa wananchi! Ameleta mabadiliko sana kwenye fikra za vijana kupenda/kujiunga na siasa.
Mpaka sasa maoni yanayojirudia rudia asilimia kubwa wanasema:-
1. Ni kweli ni mfano wa kuigwa kwa kuwa ana nia njema kusimamia maslahi ya Taifa kwanza Katika umri mdogo amefanikiwa kuwashawishi wananchi kwamba inawezekana kuchukua hatua haijilishi umri wako
2. Ameweza kuonesha ana nguvu kubwa kisiasa ndani ya chama na kuleta mabadiliko ndani ya chama cha chake
3. Vijana wengi wamegawanyika kutokana na "mabadiliko" ndani ya chama kiasi kwamba wengi wanaamini ametumiwa kukihujumu chama.
4. Zitto Kabwe wa 2007 siye wa sasa, kuna mahali ameharibu
5. Pesa na rushwa ni sababisho la vijana wengi wanaoanza vizuri wanamaliza vibaya, wananunuliwa!
Haya ndo maoni niliyopata kuhusu Zitto Kabwe. Wewe kama mpenda mabadiliko. Unaona Zitto yuko sahihi katika siasa zake au anasingiziwa na wanasiasa wenzake? naombeni msaada wenu nakusanya maoni kwa ajili ya kazi maalumu baadae.
Ahsante
Nimejifunza mengi kutokana na maoni mbali mbali asilimia kubwa ya maoni vijana wana hasira na Zitto Kabwe. Kama nawe ni mmoja wa wasiomuelewa Zitto, Tuwekane sawa hapa!!! Tatizo la Zitto ni nini? Na nini kifanyike? Pamoja na kumuona Zitto Kabwe ni kijana shupavu, sauti yake inaleta matumaini kwa wananchi! Ameleta mabadiliko sana kwenye fikra za vijana kupenda/kujiunga na siasa.
Mpaka sasa maoni yanayojirudia rudia asilimia kubwa wanasema:-
1. Ni kweli ni mfano wa kuigwa kwa kuwa ana nia njema kusimamia maslahi ya Taifa kwanza Katika umri mdogo amefanikiwa kuwashawishi wananchi kwamba inawezekana kuchukua hatua haijilishi umri wako
2. Ameweza kuonesha ana nguvu kubwa kisiasa ndani ya chama na kuleta mabadiliko ndani ya chama cha chake
3. Vijana wengi wamegawanyika kutokana na "mabadiliko" ndani ya chama kiasi kwamba wengi wanaamini ametumiwa kukihujumu chama.
4. Zitto Kabwe wa 2007 siye wa sasa, kuna mahali ameharibu
5. Pesa na rushwa ni sababisho la vijana wengi wanaoanza vizuri wanamaliza vibaya, wananunuliwa!
Haya ndo maoni niliyopata kuhusu Zitto Kabwe. Wewe kama mpenda mabadiliko. Unaona Zitto yuko sahihi katika siasa zake au anasingiziwa na wanasiasa wenzake? naombeni msaada wenu nakusanya maoni kwa ajili ya kazi maalumu baadae.
Ahsante