JOEBRAVO-HIMSELF
Member
- Jun 1, 2014
- 29
- 3
Kurekebishana tabia hususan kwa vijana wa kiume wengi wao huwa nawaona nikiwa stand za magari pamoja na sehemu za makazi au wanapolinda wamasai.
Vijana wengi huwa wanapenda kula ugoro. Utakuta domo limemvimba utadhani kapigwa ngumi kumbe kajaza ugoro mdomoni.
Enzi za miaka ya nyuma staili ya kula ugoro mara nyingi ilikuwa kwa mabibi na mababu, ila miaka ya hivi karibun vijana nao sijui wanaharibikiwa nanini.
Nimeweka uzi huu ili tupate mawazo na jinsi ya kupata maoni. Ni starehe gani wanapata hawa vijana wa kiume?
Ningependa mtushirikishe kwa mawazo yenu.
Nb matusi hayaruhusiwi.
Kuigaiga vitu wacvyo jua