Vijana, wazee ndio wanawaharibia

Vijana, wazee ndio wanawaharibia

Tatizo hawa wazee hawakupiga show wakati wa ujana. walikua busy na maisha sasa hivi ndo wanachepuka wakati mkewe kashafika menopause
umenena halaf unawaza mbali ww ujanja kama kijana fanya yako mapema ikifika uzeeni tulia
 
ni kwa wanawake maskini tuu ndo wana nja njaa ila mtoto wa geti kali utamkuta yuko na size yake. ndo maana asilimia kubwa ya vijana wenye ngoma ni vischana jaman mabroo wenzangu tumuombe mungu atulinde pamoja na ndugu zetu wa kike waache tabia zao
 
wazeee ndio habari ya mjini ndugu no stress ,mawasiliano mnamwisho akiw kimya unajua upo na mkewake , hela cio ya mawazo inatoka mda ote uwiiii dom lin jaman
 
Back
Top Bottom