Masalu Jacob
JF-Expert Member
- Jul 26, 2017
- 1,339
- 1,493
Mambo Tanzania !
Naomba vijana wapewe fursa ya kuunganishwa kiuchumi yaani wawekwe makundi 6. Wapewe sekta wawekeze na wazisimamie kikamilifu.
Sekta zifuatazo wapewe vijana;
1. Usafirishaji wa ndani ( Mwendokasi na usafiri wote wa Umma nchini)
2. Kilimo (BRT nchi nzima)
3. Madini (Migodi mikubwa yote; Liganga na Mchuchuma, Kanda ya ziwa na Kati)
4. Teknolojia (Mifumo yote iwe chini ya vijana; hata hiyo TTCL na TCRA ziwe chini yao)
5. Ujenzi (Ujenzi wa miundombinu yote ya Umma nchini).
6. Ufugali na Uvuvi (Vyanzo vyote wezeshi vya ardhi na maji viwe chini yao).
NB
Mambo mengine yawe ni 50/50 kwenye sekta zilizobaki kwa usawa wa kijinsia na umri hasa chini ya miaka 35.
Karibuni.
Naomba vijana wapewe fursa ya kuunganishwa kiuchumi yaani wawekwe makundi 6. Wapewe sekta wawekeze na wazisimamie kikamilifu.
Sekta zifuatazo wapewe vijana;
1. Usafirishaji wa ndani ( Mwendokasi na usafiri wote wa Umma nchini)
2. Kilimo (BRT nchi nzima)
3. Madini (Migodi mikubwa yote; Liganga na Mchuchuma, Kanda ya ziwa na Kati)
4. Teknolojia (Mifumo yote iwe chini ya vijana; hata hiyo TTCL na TCRA ziwe chini yao)
5. Ujenzi (Ujenzi wa miundombinu yote ya Umma nchini).
6. Ufugali na Uvuvi (Vyanzo vyote wezeshi vya ardhi na maji viwe chini yao).
NB
Mambo mengine yawe ni 50/50 kwenye sekta zilizobaki kwa usawa wa kijinsia na umri hasa chini ya miaka 35.
Karibuni.