Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 46,932
- 32,341
Mkuu Kimbunga tatizo la Tanzania viongozi kutokuwa na maadili na utaifa sio vijana tu hata wazee wengi nao wanapopewa madaraka hawafanyi vizuri mfano tumeona kwa Edrew Chenge, Daniel Yona, Basil Mramba, Mustafa Mkulo.
Baada ya kuona baadhi ya vijana hawafanyi vizuri kaamua kurudi kwa wakongwe kina Abdallah Kigoda, William Mgimwa, Sospeter Muhogo.
Ki ukweli vijana wamemuangusha sana JK kama Ngeleja, Maige, Marsha.
Baada ya kuona baadhi ya vijana hawafanyi vizuri kaamua kurudi kwa wakongwe kina Abdallah Kigoda, William Mgimwa, Sospeter Muhogo.
Ki ukweli vijana wamemuangusha sana JK kama Ngeleja, Maige, Marsha.
Last edited by a moderator: