Jumanne Mwita
JF-Expert Member
- Nov 18, 2014
- 424
- 1,044
Vijana tunapigwa danadana sana halafu ikifika msimu wa uchaguzi wanatutumia na kutuona tunafaa.
Vijana tutatumika kama CONDOM baada ya goli moja hadi lini ili tuepuke masimango?
Vijana tutatumika kama CONDOM baada ya goli moja hadi lini ili tuepuke masimango?