Vijana wa Mzizima wanateketea.

twahil

JF-Expert Member
May 31, 2011
4,100
2,793
Ndg. Zangu nimeamua kuandika hapa ili tuone tutawasaidia vipi vijana wa K'KOO MTAA WA MZIZIMA-BONDENI.Juzi nilishangaa kuwaona baadhi ya wabunge wakilia kutokana na athari za madawa ya kulevya hapa nchini.Hakika nimejionea live bila chenga kwa kuona vijana wakitumia madawa hayo na bangi kwao ni sawa na kuvuta sigara.Kilichonisikitisha zaidi ni utumiaji wa bangi na dawa za kulevya hadharani na kila kona masaa yote utakuta vikundi mbali2 vya vijana wanavuta bangi,kibaya zaidi kuna shule iko karibu na kiwanda cha bia ina ukuta mrefu utakuta vijana wanafunzi wamejumuika na vijana wa mtaa huo vijiweni wakivuta bangi.MWEMA U WAPI,KOVA U WAPI,USALAMA WA TAIFA MU WAPI.NJOONI HUKU TUOKOE KIZAZI CHA NCHI HII.Vijana wamekuwa matahira ghafla huku.Au haka kakipande si tanzania?.kama huamini rafiki njoo upitepite huku utalia.Kabonde kote kananuka bangi huku vijana wakiwa matahira ghafla.
 
Inaumiza sana af wauzaji wakuu ni watu walovaa kofia muhim serekalini,umaskini hauwez pungua coz vijana ambo ndio taifa la leo hawako timam kuijenga nji yao,funny enought wahusika wapo na wanajulikana!
 
Wacha wafu wazike wafu wao....unataka mwema aje kufanya nini? Wazazi wao wako wapi?
 
Ndo yale aliyokuwa anasema Gerald Hando kwenye Powerbreakfast asubuhi ya leo. Kuhusu hayo madawa ya kulevya/mihadarati na kwamba wanajulikana wanaoyaleta hapa nchini lakini hakuna kinachofanyika. Tumwachie Mungu!!!

Kama wanajulikana wanaofanya biashara hiyo kwa nini wasichukuliwe hatua? Rais amekalia hayo majina sijui ili iweje yazae majina mengine au ni uoga usiokuwa na kichwa wala miguu...eti unajidai kabisa in public unayafahamu yako kwenye meza yako kwa nini usiwataje tukawafahamu?au uswahiba umezidi kushinda ufanisi wa kazi??

Labda wangekuwa watoto wa vigogo ndo wanabwia hivo kama hao wa kkoo kungefanyika kitu. Mungu awanusuru tu jamani.
 
Ndg. Zangu nimeamua kuandika hapa ili tuone tutawasaidia vipi vijana wa K'KOO MTAA WA MZIZIMA-BONDENI.Juzi nilishangaa kuwaona baadhi ya wabunge wakilia kutokana na athari za madawa ya kulevya hapa nchini.Hakika nimejionea live bila chenga kwa kuona vijana wakitumia madawa hayo na bangi kwao ni sawa na kuvuta sigara.Kilichonisikitisha zaidi ni utumiaji wa bangi na dawa za kulevya hadharani na kila kona masaa yote utakuta vikundi mbali2 vya vijana wanavuta bangi,kibaya zaidi kuna shule iko karibu na kiwanda cha bia ina ukuta mrefu utakuta vijana wanafunzi wamejumuika na vijana wa mtaa huo vijiweni wakivuta bangi.MWEMA U WAPI,KOVA U WAPI,USALAMA WA TAIFA MU WAPI.NJOONI HUKU TUOKOE KIZAZI CHA NCHI HII.Vijana wamekuwa matahira ghafla huku.Au haka kakipande si tanzania?.kama huamini rafiki njoo upitepite huku utalia.Kabonde kote kananuka bangi huku vijana wakiwa matahira ghafla.

kazi na sera mbovu za ssm ndo chanzo,
majina ya wanaoingiza wanayo wameyakalia
mfumo wa elimu mbovu vijana wanakimbia
ajira hakuna,hela hakuna unategemea nini
wakati watoto wa hao vigogo wasoma nje!!!

think twice na ssm yako
 
Kweli Makonda anasikiliza na kufanyia kazi kero za wananchi wake.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom