hahahaha🤣Kwenye aspect ya kurogwa vijana wa hovyo tunaiclash...hatohofii kurogwa![]()
lakini ni gharama ku keep mwanamke zaidi ya mmoja na inapoteza sana muda,mfano ukitoka out na mmoja mwingine pia anakutak muda huo
Hahahahahaha acha uchochezi mkuuKwamba King Sele nae alikua kijana wa hovyo au![]()
Fikra huumba uhalisiaMaselaaa eeh eti tukisema ukweli kutoka moyoni demu mmoja anatosha!???
Wewe kama kijana wa hovyo weka swali lako hapa mavijana tupite nalo![]()
Khaaa wewe kweli wa hovyo 😆Halafu hizi pigo zao za kitoto unamleta ghetto mara aache khanga ,chupi hivi shida nini
Wanatupa tabu kuzificha
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Wewe ni kijana wa hovyoHalafu hizi pigo zao za kitoto unamleta ghetto mara aache khanga ,chupi hivi shida nini
Wanatupa tabu kuzificha
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app

Nae angemuibia pedi yake iliyotumika.Man,demu mmoja anatosha sana,kuwa nao watatu afu wote wakuroge😅,kuna mwamba alilalamika kukuta demu wake kamuibia boxer kaweka kweny mkoba